MACHONDELA
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 937
- 1,566
Kampuni gani hii?Naona mnapigwa vipigo vizito kwenye football, leo nataka niwape ladha tofauti. Binafsi huwa siangaiki kuweka pesa yangu kwenye football.
Huu mkeka una mechi mbili tu ukiwa na jumla ya odds 3.22 na ni mchezo wa baseball. Wekeni huo mkeka mpunguze vilio kila uchwao.
Wekeni kila kitu mlicho nacho kwenye huu mkeka, kama utapuuzia ni wewe na upuuzi wako. Narudia wekeni kila kitu, kama ni hela weka ya maana. Baada ya michezo kuisha mje kutoa ushuhuda hapa.
View attachment 2323606
Sawa kiongozi wanguAcha kubeti kama hata kusoma huwez
Kampuni gani hii?
Shukran mkuu wa jana umetok8D7DC9 odds 13
796C419 odds 6
2E6CD9 odds 8
60F0C7 odds23
Sportybet
Nitaweka tu endapo nitakuwa nina mtaji wa kutosha ili ule msemo wa "bet what you can afford to loose" u-applyKampe , anaweza fufukia kwa Liverpool
.
"Alisikika mlevi mmoja"
Itabidi siku moja tujaribu Parimatch japokuwa hata Gal sport nao wana machaguo mengi japokuwa humu ndani wadau wa Gal sport wachacheKibongo bongo parimatch ni noma sana akifatiwa na meridian zingine ni takataka