Si wewe tu bali mimi piaSimba anakwenda kukausha kabisa acc yangu aaipopata bao
Huyu Simba vipi tena aisee. Yaani hawa watu hawahurumii hata vihela vyetu?? Daaaaaah.
Sidhani kama 2X atatoa huyu jamaa
Siro na Prisons wapi na wapi!!!???Itakua afande Siro kampigia simu Mo ainusuru
Mm nadhani ni kheri uache tu kupost hii mikeka yako ya won kama hauwezi kushare codes na wana
Hawezi kukuelewa huyo,Mm nadhani ni kheri uache tu kupost hii mikeka yako ya won kama hauwezi kushare codes na wana
Au kama una uza tickets, sema bei yako wenye uhitaji wa kushinda ni wengi sana
jiulize ww mwnyw mchango wako ni nin kwenye huu uzi wa watafutaji, kama sio kuringishia wana, sio pigo za kiume kabisa ukifikiria kiuanaume utanielewa
Huu uzi ni kwa ajili ya wapambanaji, wanaume wanaoshirikiana kutafuta mkate daily
Think like a man, neno langu si sheria, kama hauwezi kushare tickets na watafutaji wenzako basi hata hizo Won tickets usiziweke huku, hakuna anayefurahia trust me
Kama ana akili kakuelewa.Mm nadhani ni kheri uache tu kupost hii mikeka yako ya won kama hauwezi kushare codes na wana
Au kama una uza tickets, sema bei yako wenye uhitaji wa kushinda ni wengi sana
jiulize ww mwnyw mchango wako ni nin kwenye huu uzi wa watafutaji, kama sio kuringishia wana, sio pigo za kiume kabisa ukifikiria kiuanaume utanielewa
Huu uzi ni kwa ajili ya wapambanaji, wanaume wanaoshirikiana kutafuta mkate daily
Think like a man, neno langu si sheria, kama hauwezi kushare tickets na watafutaji wenzako basi hata hizo Won tickets usiziweke huku, hakuna anayefurahia trust me
Vipi unakereka na hizo WON?? haya embu chukua wewe hiyo mechi moja bet hivyo unavyosema,leta code hapa na iwe WON kilasiku. We unashindwa nini kufanya hivyo? Mbona huleti code yako hapa?. Mtaji wako ni mdogo hiyo odd ya 1.06 haikufai hivyo pita kuleee kushoto.Acha uchawi nikaanza kulost .Watu hatuwezi kufanana na sio kilakitu kinamfaa kilamtu.
Huyo jamaa anashare mikeka ya watu me huo mkeka nimekutana nao sehem ingineHawezi kukuelewa huyo,
Tulishaamua kumpuuza.
Madai yake anafanya hivyo kuringishia. Sasa ukishaona Mwanaume ana tabia za kuringishia vitu ni kumkwepa ili usije kuhusishwa nae.
Mkuu tunasubiri code za Baseball na HokeyBCJSKES,
Sportybet.
All luck Punters.
Inatosha Kwa Leo, Jioni nita-share codes za baseball na hokey.
Huyo jamaa anashare mikeka ya watu me huo mkeka nimekutana nao sehem ingine
Hapana bana usipangie mtu cha kufanya...Mm nadhani ni kheri uache tu kupost hii mikeka yako ya won kama hauwezi kushare codes na wana
Au kama una uza tickets, sema bei yako wenye uhitaji wa kushinda ni wengi sana
jiulize ww mwnyw mchango wako ni nin kwenye huu uzi wa watafutaji, kama sio kuringishia wana, sio pigo za kiume kabisa ukifikiria kiuanaume utanielewa
Huu uzi ni kwa ajili ya wapambanaji, wanaume wanaoshirikiana kutafuta mkate daily
Think like a man, neno langu si sheria, kama hauwezi kushare tickets na watafutaji wenzako basi hata hizo Won tickets usiziweke huku, hakuna anayefurahia trust me
Ungeachana na hao watu.