B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,393
Daaah
Basi hiyo siku tulipigwa pamoja. Nakumbuka cardif walicheza mpira utafikiri kuna kitu wanakitafuta.Kama kwenye hii tasnia upo kitambo kuna hiki kitu
Timu ikishatangazwa kuwa bingwa
Inaingia uwanjani kucheza bonanza tu
2018 PSG alipigwa na metz akaninyima mkwanja
2018 hio man u alipigwa na cardif 2-0 hii ilikuwa mechi ya mwisho cardif ashuke to championship
Tunajifunza nini sasa
Timu ikishachukua ubingwa betia magoli sio direct win
Nataka tu zitoe 1.5 matokeo ya jumla.Kwa mpira anaopigiwa labda aliwe yeye
Ngoja tuone..Jipe moyo mkuu
Bado dk 45 zingine
Mkuu afu washikaji walikuwa wanashuka ilikuwa balaa jamaa walishuka kibabe sanaBasi hiyo siku tulipigwa pamoja. Nakumbuka cardif walicheza mpira utafikiri kuna kitu wanakitafuta.
Shukuru mbupu zako zimeponaNasikitika kupitwa na hii code...
HahaaaaMi mwenyew nimepigwa na kitu kizito hapa naugulia maumivu anyway wacha tupige moyo konde...
Pole sana mkuuKanji anakusanya kashanipiga 54KView attachment 2206456
Kwanini?Laki saba na hamsini ....
Asee...
Kwenye odds 2.
Hakika Mungu katuumba tofauti sana.
Mkuu upo?kazi iendeleee
Aiseeeh, mimi nikifika level hii ya kuliwa naacha betting. Aiseeh
Mkuu @stevenMollel, Salaams.Laki saba na hamsini ....
Asee...
Kwenye odds 2.
Hakika Mungu katuumba tofauti sana.
Mhh hili jukwaa kunahitajika kuwa mtoa ushauri nasaha maana si kwa vipigo hivi