Simpleboylife
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 565
- 1,109
🤭🤭🤭Simba lazima atashinda, msiwe na mashaka kabisa, darubini yangu inaonesha hapa!
🤭🤭🤭Simba lazima atashinda, msiwe na mashaka kabisa, darubini yangu inaonesha hapa!
Sometimes kubet it's waste of time and energy Bora kwenda shamban kulima njegere na bamiaNgoja tuu nikanywe K vant..kubet nahis sina akili...pengine nimeandikiwa ili nifanikiwe zaid lazima nipitie shuruba..labda nyota yangu sio ya bahati nasibu....Tawilee Kanjibahi..Sio mikono tuu na miguu nimekunyooshea
Asalaam aleykumSimba lazima atashinda, msiwe na mashaka kabisa, darubini yangu inaonesha hapa!
Tangu lini we fala ukawa na bahati.
Utaniletea mzigo wa nanasi msata mkuuNililima mananasi bagamoyo pale kihangwa nilichopata siri yangu...wale waswahili wanauza nanas mpaka sh 200..niliweka 10m ardhin nikaambulia 4.2m...nikasema Tawilee...baada ya hapo ni stress tupu mpaka barabara ya vumbi tu navushwa na mtoto wa chekechea...mi leo nakufa na jackport ya sportpesa tuu na betpawa yenye 5.5Billion wacha niwaze vikubwa tuu
Mkuu umepotea sana dah umetususa kabisaWenda ukawa na chakujifunza View attachment 2091821
Kiongozi,ww total odds zako huwa hazizidi ngapi?Ngoja tuu nikanywe K vant..kubet nahis sina akili...pengine nimeandikiwa ili nifanikiwe zaid lazima nipitie shuruba..labda nyota yangu sio ya bahati nasibu....Tawilee Kanjibahi..Sio mikono tuu na miguu nimekunyooshea
betting bana ,nimeingia inplay Kuna option ilikuw na na odd 1.40 nikastake 10k ikaja 14k
nmemaliza kustake ile kurefresh tu nakuta imebadilika kuwa odd 6
maanaake Kuna timu imepigwa magoli fasta fasta ndan ya dk 1
Wee kweli hujui kubet...yaani uwanja ule ulidhani kungekuwa na magoli?Bet sio mchezo aisee ninempa Simba win au droo na over 1.5 nikawa bajiamini asilimia 100 nakula hela
Tuonyeshe mkeka wako uliokula mtaalamWee kweli hujui kubet...yaani uwanja ule ulidhani kungekuwa na magoli?
Mkuu swaalamaaaaaaaa??Wewe jamaa ni shabiki wa yanga ,usituletee uyanga wako kwenye kubet Leo ni either mtibwa afe au afungwe hakuna namna nyingine....
Mkuu hiyo ipo mwaka jana mshikaji aliweka under mechi 45 betpawa, na zilitoa zote.Weka hapa huo mkeka acha porojo. Over vs Under option inayotoa sana ni Over. Game 24 ziwe under zitoe zote?? Weka hapa huo mkeka.
Hamna utaalam bwana ili vitu vingine unaona uwezekano umelalalia upande mmojaTuonyeshe mkeka wako uliokula mtaalam