Simba kufungwa na Mbeya City imekua sasa watu wanaichukulia Simba kama Coastal union

Mtibwa anaweza kufungwa hata game nne mfululizo na asishuke daraja lakini sio Simba kufungwa mfululizo mara mbili na ategemee ubingwa mbele ya Yanga
Bob hawa wanapigana vita mbili tofauti kabisa

Weka mzigo Simba win
Akifungwa screenshot mkeka nikurudishie stake yako
Tupo hapa.
 
Unaposema kwa gharama yoyote unamaanisha nini mkuu?? Hizo gharama hazikutumika kwenye game na Mbeya City?? Pamoja na yote mpira huamuliwa uwanjani, unaweza pewa penati ukakosa, ukapewa faida ya kadi nyekundu na bado ukapoteza. Usibet kwa staili hiyo mkuu. Mtibwa yuko nafasi ya 13 na ana hali mbaya, busta yake ni point 3 za leo, Simba nae anataka kusawazisha makosa ya game iliyopita, na ataingia kwa pupa ili kuonesha kuwa game iliyopita aliteleza tu, hapo ndipo Mtibwa wanatangulia na Goli 2. Hii game akili yangu inakataa kumpa SIMBA.
Wewe jamaa ni shabiki wa yanga ,usituletee uyanga wako kwenye kubet Leo ni either mtibwa afe au afungwe hakuna namna nyingine....
 
22bet
Live

6C8NJ

huu mgumu

Pole pole ndio mwendo
IMG_4748.png
 
Back
Top Bottom