CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Sportpesa pia wanaumiza akili kuzipiga hizo buku 2 2 zako.Jacport ya sportpesa naishiaga kupata timu tisa kati ya 13 yaan naumiza sana akili kuitafuta hiyo million mia nane
Sportpesa pia wanaumiza akili kuzipiga hizo buku 2 2 zako.Jacport ya sportpesa naishiaga kupata timu tisa kati ya 13 yaan naumiza sana akili kuitafuta hiyo million mia nane
Tit for tatSportpesa pia wanaumiza akili kuzipiga hizo buku 2 2 zako.
League ya Ujerumani BundesLiga ni ngumu sana aseenikajua Dortmund walipanga kikosi B kumbe kikosi chote kilikuwa ndani ,hapa kuna upangaji wa matokeo sio bure
Jana na leo siyo Bundesliga ndiyo maana timu kubwa zinachezesha kikosi cha pili. Kwa hiyo ukibet hizo lazima utafyekwa! Ngoma ujerumani huwa ni weekend!League ya Ujerumani BundesLiga ni ngumu sana asee
Mkuu hiyo ni sh 20 million wanatoa bonus kuanzia mechi ngapi ukipatiaWazee wa mzigo na wasogezea hii naona kama hii itakuwa nzuri kwenye bonus kuliko sportpesa maana wenyewe kwa buku tu.View attachment 2088152
nenda forgot password wakituma yao ingiza na namba yako, password yako utabadirisha mbele kwa mbeleWazee wa betika vip
Mbona jamaa wanazingua kujiunga,shida nn
Wanasema ni ressert pasiword ili acc yangu iwe active
Lkn nafanya hivo naona vurugu,hebu tusaidiane wadau kama wapo watu wanaocheza betika humu
Kuanzia mechi 10Mkuu hiyo ni sh 20 million wanatoa bonus kuanzia mechi ngapi ukipatia
Sorry mzee niliona wenge kweli ni milion20 hila naisi inaweza ikawa ya kupanda.Mkuu hiyo ni sh 20 million wanatoa bonus kuanzia mechi ngapi ukipatia
Umempasua?Leo kanjibhae anatapika mannina zake
St.Pauli anaongoza bundesliga 2 na huwa anafunga sana goli..so obviously ulitakiwa utegemee close tight match, best option was over 1.5/2.5. Cup games mara nyingi huwa na upsets...underdogs huwavunga vigogo either kwa kukamia au vigogo kupanga vikosi vya pili...option nzuri kucheza ni magoli au unaedhani anaweza kufuzu next round maana wakati mwingine hutoa suluhu ktk dk 90nikajua Dortmund walipanga kikosi B kumbe kikosi chote kilikuwa ndani ,hapa kuna upangaji wa matokeo sio bure
Kizuri kula na ndugu yako... Uwe unashare basi mkuu
Pole sana mkuu stake na timu vilikuwaje maana hiyo hela sio mchezoKuna hili Timu Washington Wizard hakika ni Wizard,limenikosesha 4,260,000 asubuhi hii