Mkuu sio kwamba tunakimbia kodi tuKwani mkibetia kampuni nyingine zilizosajiliwa bongo Kuna shida Gani Yani Mimi siwezi kuweka hela kwenye sehem za kipuuzi kama hizo Kisa kukwepa Kodi. Kwanza naskia ukifanya update hela zote wanachukua
Nafuataga sana tips zako na comment yang sio ya kukubezaMkuu,mie sibet mara nyingi kama unavyodhani...japo naupenda huu uzi,siwezi kuingia JF bila kupita hapa
Last week nimebet mara 4,nimelose mbili na nimewin mbili
View attachment 2084886View attachment 2084887View attachment 2084888View attachment 2084889
Vipigo vipo BTW
HUMU NDANI NI PURE COMEDY YAAN JAMAA KASEMA U SCREENSHOT MKEKA TIMU IKICHANA AKURUDISHIE STAKE YAKOPolisi kashachana mkuu, nifanyie marejesho
Vibanda umiza kuna mambo jamaa kaweka 150,000 mtaji wa mananasi eti simba anashinda ndio tunarudi muda huu kutoka masana hospital maana jamaa alizima
Hata sahau maishani mwake huyuVibanda umiza kuna mambo jamaa kaweka 150,000 mtaji wa mananasi eti simba anashinda ndio tunarudi muda huu kutoka masana hospital maana jamaa alizima
Alibeti kiushabiki huyu.Vibanda umiza kuna mambo jamaa kaweka 150,000 mtaji wa mananasi eti simba anashinda ndio tunarudi muda huu kutoka masana hospital maana jamaa alizima
Yaa maana kila muda huvaa jezi ya simba, hata barabaran anapomwaga mananasi yake hadi mwanvuli alioweka ni wasimba. Nimeumia maana mananasi yake yalikuwa bei nafuu ndio hivyo mwamba kakata mtajiAlibeti kiushabiki huyu.
Unatumia mtamdao gani...?
Rudisha pesa mkuumpe simba over ya 1.5
polisi Tanzania 1h:12
milani 0ver 1.5
Cameron 12
Burkina Faso under 2.5
mkeka ukichanika screenshot nakurudishia stake yako
screenshot stake mkuu nakurudishia pesaRudisha pesa mkuu
screenshot stake mkuu nakurudishia pesa
Ni mgeni katika hzi mambo labdaHata sahau maishani mwake huyu
Hiyo huduma imeondolewa kwa eneo letu. Ukitaka kuongeza washa VPN kisha ingia kutokea Ulaya kupitia browser, utaiona hiyo option kwenye settings.
asante mkuuHiyo huduma imeondolewa kwa eneo letu. Ukitaka kuongeza washa VPN kisha ingia kutokea Ulaya kupitia browser, utaiona hiyo option kwenye settings.
mkuu sioni naomba nielekezeHiyo huduma imeondolewa kwa eneo letu. Ukitaka kuongeza washa VPN kisha ingia kutokea Ulaya kupitia browser, utaiona hiyo option kwenye settings.