ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 936
- 2,524
Chambua Apo timu 10 tu
Betpawa. D0BA4FF
Betpawa. D0BA4FF
Awezi kutoboa kaka leo
Southamptom, aston villa na west harm hizi timu zitaliza watu sanaaSijui kwanin mtu anamwamini arsenal ,kwa Sasa Bora nimwamin westham
Muwekee, Simba hana mpira wa kumfunga yanga kwa sasa
Yanga anakuchania mkeka bora umpe double chance ashinde au asuluhuBayern ov 2.5
Young African W
Man City ov 2.5
Liverpool ov 1.5
Man u W & ov 1.5
kuna match ambazo umeweka option zaidi ya moja.Hv mbona price naweka 10 lakini huku naambiwa i am about to pay 1280View attachment 2040314
Kwani yanga yupo vizuri Sana Leo anashinda mapema tuYanga anakuchania mkeka bora umpe double chance ashinde au asuluhu
Halafu za simba zinazidi kushuka..hapo ndio utajua hujui inapojidhihirisha🤣
Hili swali umeliuliza sana humu,iko hz..kama ni game moja huwa inachezeshwa droo ya wazi wanaweka vipira kwenye pot..kwa maana ya ushindi wa nyumbani,draw,au ushindi kwa away..then wana pick..kitakachookotwa ndio matokeo hayo..Wakuu jackpoti ya sportpesa itachezeka kweli maana game ya spurs na brighton imeghairishwa isije tukaweka mzigo halafu baadae wanatangaza pesa zinarudishwa
Nenda hapo kwenye paybill ndo utaikuta VodacomWakuu..nimefungua account Sportybet registration nimetumia Voda..ajabu nashindwa kufanya deposit coz naletewa nideposit either kwa tigo pesa ama Airtel Money sioni option ya M-pesa
View attachment 2040080
navyojua sportpesa kama ukishinda halafu timu moja haijacheza wanacheza dro .Wakuu jackpoti ya sportpesa itachezeka kweli maana game ya spurs na brighton imeghairishwa isije tukaweka mzigo halafu baadae wanatangaza pesa zinarudishwa
We jamaa nimekufatilia sana, inaonekana ni member wa zamani humu ila hoja zako ni za kitoto. Unataka LIGI na kuiendeleza hiyo mada ilihali sioni cha maana mnachojadili.Live casino na timu za mpira zinaingilianaje? Unajua casino wewe?
Haramu kwa mujibu wa nani? Dini yako au? Wengine haiwahusu mkuu
Speaking of betting ni biashara ya mabilioni hawakubali kuliwa kizemne
Je uwekezaji wa timu kubwa za mpira sio biashara ya mabiliioni ya dola? Na unadhani wapo tayari kuja kupata balaa kizembe kama Juve?
Hiyo system uliokazania kwani huwa inawalazimisha hao wenye hela “ndefu” kubet timu kubwa?
Au aliyekudanganya wanye hela ‘ndefu” huwa wanabet timu kubwa tu ni nani?
Usiumize kichwa sana , angalia tu the best tippers uone options zao, kibongo angalia tu akina tipmaster, prof, void, Mayu nk nk hawa angalau ndio tunawaaminia kwa stake zao, angali wanabet options gani huwezi kuta kabet 1x2 au sijui live win
Kwamba wewe mlala hoi unayeishi kwa mpalange unajua zaidi ya hao wenye hela ndefu kuwa wanachezewa michezo na hawajui wanendelea kupigwa
Mnabet kijinga halafu mkilost mnaanza kutengeneza hadithi za kijinga kuhalalisha lost zenu
Acha basi kubet timu kubwa uanze kumbutua kanji kama timu kubwa zina hongwa