allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,025
- 9,762
Majizi hayo odds haziuzwi kamwe kama timu kubwa zinachapwa kila siku amini odds haziuzwi.Naomb kujua hiv Hawa wanaouzaga odds huko telegram nibkweli au NI matapeli?? Naomba ufafanuzi wakuu
Majizi hayo odds haziuzwi kamwe kama timu kubwa zinachapwa kila siku amini odds haziuzwi.Naomb kujua hiv Hawa wanaouzaga odds huko telegram nibkweli au NI matapeli?? Naomba ufafanuzi wakuu
Kweli kabisa Kuna wengne wanna Hadi group's unalipia kiingilioMajizi hayo odds haziuzwi kamwe kama timu kubwa zinachapwa kila siku amini odds haziuzwi.
Naomb kujua hiv Hawa wanaouzaga odds huko telegram nibkweli au NI matapeli?? Naomba ufafanuzi wakuu
Pole sana mku anaendeleaj saiviWakuu niombeeni aiseh, jana nimepigiwa simu kuwa wife anaumwa.Leo ikabidi nitoke Dutwa mpaka Mwanza, nimefika home mida ya saa nne kwa kuchelewa sana kutokana na gari yangu kupata hitilafu njiani.Sasa me nikaona ka yupo poa tu isipokuwa ni deko zake tu,kwahiyo nikapanga kumpeleka hospital kesho.
Daaah nimemlaza kitandani, nikatoka kwenda washroom ile narudi nikakuta anaarusha miguu na anatoa mapovu mdomoni😢, Nimemleta hapa BUGANDO.
Ao wauza codes kwa nn wao wasibet wapat hiyo elaNaomb kujua hiv Hawa wanaouzaga odds huko telegram nibkweli au NI matapeli?? Naomba ufafanuzi wakuu
Aiseeeee Kuna hatari Sana inatukabili vijanaHao ni wezi hakuna muuzaji hata mmoja.
Kuna rafiki yangu alikuja kunikopa kiasi cha laki 2 bila ya kuniambia anaenda kufanyia nini, kumbe kaenda kuwapa hao jamaa wanaojinadi wanauza odds..
Baada ya kutapeliwa ndo akaja kunielezea kilichotokea. Nilimuonea huruma lakini hakuwa na budi kunilipa.
Mkuu nipe na mie hilo chimbo nitambae na nyota ya mwamba....wanao bashiri idadi ya magori wapo vizuri ingawa mpira unadunda......Niliikuta mahali nikajaribuView attachment 2006393
Pole mkuuWakuu niombeeni aiseh, jana nimepigiwa simu kuwa wife anaumwa.Leo ikabidi nitoke Dutwa mpaka Mwanza, nimefika home mida ya saa nne kwa kuchelewa sana kutokana na gari yangu kupata hitilafu njiani.Sasa me nikaona ka yupo poa tu isipokuwa ni deko zake tu,kwahiyo nikapanga kumpeleka hospital kesho.
Daaah nimemlaza kitandani, nikatoka kwenda washroom ile narudi nikakuta anaarusha miguu na anatoa mapovu mdomoni😢, Nimemleta hapa BUGANDO.
Pole sana mkuuWakuu niombeeni aiseh, jana nimepigiwa simu kuwa wife anaumwa.Leo ikabidi nitoke Dutwa mpaka Mwanza, nimefika home mida ya saa nne kwa kuchelewa sana kutokana na gari yangu kupata hitilafu njiani.Sasa me nikaona ka yupo poa tu isipokuwa ni deko zake tu,kwahiyo nikapanga kumpeleka hospital kesho.
Daaah nimemlaza kitandani, nikatoka kwenda washroom ile narudi nikakuta anaarusha miguu na anatoa mapovu mdomoni, Nimemleta hapa BUGANDO.
Mkuu Kanyimbi naona hizi odds zako zote mbili zilianza safari juzi leo zimeshapita Dodoma. Nilizifata - Naendelea kubana Mbupu ili tufike salama Kigoma.Odds 418 + 108 Betpawa code: C3DEACF
Poa poa mkuuYa moto sana hii,Ingawa Australia vs Saudi Arabia.Ila nimerebisha nikaweka 1x badala ya kumpa Australia Direct Win or GG pia yaweza toa.
Poa mkuu.Mkuu Kanyimbi naona hizi odds zako zote mbili zilianza safari juzi leo zimeshapita Dodoma. Nilizifata - Naendelea kubana Mbupu ili tufike salama Kigoma.
Hata mm nilifuata kama nihivyo ngoja nisubiri kitufe cha cash outPoa mkuu.
Zilikuwa Odds 418 nikaja kuedit zile mechi za basket zikabaki odds 108 cha ajabu zote bado zipo hewani. Mara nyingi sinaga bahati huwa zinafeli game za mwisho.
Polee kaka uwe na imani Yesu atamponya.Wakuu niombeeni aiseh, jana nimepigiwa simu kuwa wife anaumwa.Leo ikabidi nitoke Dutwa mpaka Mwanza, nimefika home mida ya saa nne kwa kuchelewa sana kutokana na gari yangu kupata hitilafu njiani.Sasa me nikaona ka yupo poa tu isipokuwa ni deko zake tu,kwahiyo nikapanga kumpeleka hospital kesho.
Daaah nimemlaza kitandani, nikatoka kwenda washroom ile narudi nikakuta anaarusha miguu na anatoa mapovu mdomoni😢, Nimemleta hapa BUGANDO.