Mr Shelby
Member
- Nov 4, 2021
- 42
- 102
unajua ata mimi namshangaa hayo maneno yake ya kujipamba pamba analeta uku ili iweje,tuone kama anajua au vp ? na itatupa faida gani ? wazee wa fixed bana wanambwembwe hatari
unajua ata mimi namshangaa hayo maneno yake ya kujipamba pamba analeta uku ili iweje,tuone kama anajua au vp ? na itatupa faida gani ? wazee wa fixed bana wanambwembwe hatari
Sasa na ni kwanini unajisifu halafu code hutaki kushareWAKE UP BRO!
I don't know who need to hear this, but PLEASE
I DON'T REPLY MESSAGE and(it's another reason
of HIDE MY OLD ID)
NA UKIONA NIMEKUJIBU SCREENSHOT LETA USHAHID HUKU
Eti "bet lost"Bet Lost.
Wanawakumbuka wanajeshi waliopoteza maisha wakilipigania taifa..ni kila november ya kila msimu wa epl.
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenTupumzike kwa amani
Mkuu nilipita na hii option jana ila nilichagua timu 3 tu nikapata 14750/= naona ni option nzuri ukiwa na mtaji,!
sasa naomba kuuliza leo siion au huwa inawekwa kwnye ligi kubwa tu?
na kizungu cha uongo na kweliunajua ata mimi namshangaa hayo maneno yake ya kujipamba pamba analeta uku ili iweje,tuone kama anajua au vp ? na itatupa faida gani ? wazee wa fixed bana wanambwembwe hatari
BRO! I FEEL YOUR PAIN!!Sasa na ni kwanini unajisifu halafu code hutaki kushare
Sasa si bora ungekaa kimya ujilie kivyako tu
kampuni gani?Wakuu jinsi gani naweza kuweka pesa kupitia M-PESA
NAMBA ya kampuni pamoja na KUMBUKUMBU NAMBA ni nini?
mimi jana nmejaribu sportybet na nmekula kwa mara ya kwanzaNimebeti online toka mwaka 2014 mpaka leo bado nabeti. Nimebeti kwa kutumia makampuni tofauti tofauti. Lakini kampuni ya bet pawa nimejiunga nao mwezi wa kumi mwaka huu maana ake mwezi uliopita na toka nijiunge sijawahi kula hata mia mbovu. Tofauti na makampuni mengine na nilivutiwa kujiunga baada ya kuona code nyingi zinarushwa hapa na pia watu kuwasifia kuwa wana bonus kibao
ILA Naomba niseme TU KUWA kama kuna mtu (ata/ana)endelea kung'ang'ania betpawa basi kila siku kwake itakuwa ni kilio tu hii ni kwasabbu BETPAWA wan option chache sana na pia ni waoga sana.
mfano. Kuna timu kubwa ikiwa na % kubwa ya kushinda ukitafta option ya double chance hupati ukitafta option ya over/under unashangaa wameanzia 1.5 au 2.5 akati ww ulilenga labda ya 0.5 ili uwe safe zaidi. Naweza kusema kuwa makampuni mengine ya hapa hapa bongo japo hawana bonus nyingi ila wan options kibao na uhakika wa kula upo.
bora nirudi zangu PLAY MASTER ambapo unakutana na options 800+ na endapo kwenye mkeka ikichana timu moja unarudishiw mtaji wako ni hayo tu.
N.b
Mzee baba leta code hz story kapige na mwijakuWAKE UP BRO!
I don't know who need to hear this, but PLEASE
I DON'T REPLY MESSAGE and(it's another reason
of HIDE MY OLD ID)
NA UKIONA NIMEKUJIBU SCREENSHOT LETA USHAHID HUKU
Samahani dah!kampuni gani?
kopa bank, au uza nyuma uka stake high tia hata milion 50 kwa hzo odds zako maana unazipamba sanaHERE WE GO AGAIN!! AGAIN!🟢🟢🟢
SPORTY TYPE BASKETBALL
MARKET TYPEOVER/UNDER
STAKE50,540/=
PAYOUT60,850/=
PROFIT 10,310/=
TIME12min
NEVER JUDGE MY CHOICE,IF YOU DON'T KNOW MY REASON
WE FAMILY
kopa bank, au uza nyuma uka stake high tia hata milion 50 kwa hzo odds zako maana unazipamba sana
kwendraaaaaaa
Kuna jukwaa la great thinkers kapost huko mkuu
Weka code humumimi jana nmejaribu sportybet na nmekula kwa mara ya kwanza