ndiyo kamandaKuna code hapo nimejaribu kwa sh 10 inakuja mil 9,nadhani labda zingine zipo live
Hellas verona si wa kumbeza kwa Juve ya sasa kumbuka wanatofautiana kwa point 3 tu,nashauri over 1.5,
Dk ya 65 mgeni kapewa red card halafu anaongoza 3 bila
Nikajisemea hawa watashambuliwa sana hawata pata goli 2 nikawapa under 4
Kuja kuchungulia nakuta wammembamiza mtu 5
Daah mikeka yako yot nafuatag kwa 50.. ila inaleta mihel iyooo kaah .ndiyo kamanda
Hakika mkuuHellas verona si wa kumbeza kwa Juve ya sasa kumbuka wanatofautiana kwa point 3 tu,nashauri over 1.5,
Burnley huyu hajapata ushindi msimu huu ila anapoint 4 na mechi ya mwisho katika ligi alicheza na SOUTHAMPTON walitoka 2-2 Akiwa ugenini,
mechi inayofuata na Brentford najua atakaza sana ili ajitengenezee mazingira ila over 1.5 au GG itatoa naamini,
Barcelona bado haijawa katika form sidhani kama anaweza kushinda kumbuka mechi mbili mfululizo amepoteza katika ligi amefungwa magoli 3 yeye analo 1.
Ni sahihi mkuu tuombe dua .. tupate ata cha kucash outKwa mawazo yangu Atletico Madrid leo atamfunga levante ,mechi iliyopita alidraw ,hawezi kupoteza au kudraw Mara mbili.
Napoli anashinda vizuri tu bila stress
Along'atwa na nyoka hata jani likimgusa hustuka,Leo naona humu comment za tahadhari tu.
Leteni code tuendelee na kazi
sure inabidi nitulie kufanya analysisDaah mikeka yako yot nafuatag kwa 50.. ila inaleta mihel iyooo kaah .
Cjawai acha na nahis iko siku nitatusua kupitia formula yako
Kikubwa akuna kukata tamaa
Ohoo na game ya sociedad ishaanza.. haueditiki..ntabet tena.Brentford yuko form sana tangu apande daraja,ampe hata goli moja kama vipi
Sawa mkuu..Ntawatoa kabsa..zibaki rimu kadhaa za uhakika.Burnley vs Brentford hapo heri over maana Brentford yuko on fire anaweza kumfunga burnely .
Krasnodar naye haieleweki ,halafu huyo mwenzake karibia kawapiga wakubwa wote
Aisee huyo siyo kitonga alishashuka akarudi ligi kuu,Ila we angalia but hiyo mechi hata akashinda atakupa stressSawa mkuu..Ntawatoa kabsa..zibaki rimu kadhaa za uhakika.
Krasnodar nimempa sababu anacheza na Kitoga kapanda Daraja..ila sio kesi wote ntawatoa hao.
Naona kafunga moja na kuna mvuaHivi mechi ya Sociedad watatoa kweli hata over 0.5?
Anaeza akasepa na kijij na yyHivi mechi ya Sociedad watatoa kweli hata over 0.5?
anaongoza 1..Aleksander Isak yupo fire sana huyu mtuHivi mechi ya Sociedad watatoa kweli hata over 0.5?