Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
80F669DKaka vp huna code za leo
Hebu ziangalie hizo utakayoona una mashaka uedit
80F669DKaka vp huna code za leo
Mie jeonbuk kapita Salama..hammarby sijui atatoa direct win.Mi kuna treni niliweka 500 Sasa hivi cashout inakuja 19,000 .nitavumilia aisee labda itapita
Hammerby anapita odds zake zilikuwa 1.30 ikaja 1.20 Sasa imefikia 1.17 zinashuka tu means direct win anashinda ,hata hivo anacheza na kibonde wa mwisho kwenye msimamo wakati yeye anagombea nafasi za juuMie jeonbuk kapita Salama..hammarby sijui atatoa direct win.
Jeonbuk kama kapita ni vizuri aisee maana mechi za Korea na Japan kina Kawasaki Frontale odds ndogo Ila wanachana mikeka kishenziMie jeonbuk kapita Salama..hammarby sijui atatoa direct win.
Sawa mkuu..cashout inatamanisha ni 66k sema nakomaa kibishi sitoi.Hammerby anapita odds zake zilikuwa 1.30 ikaja 1.20 Sasa imefikia 1.17 zinashuka tu means direct win anashinda ,hata hivo anacheza na kibonde wa mwisho kwenye msimamo wakati yeye anagombea nafasi za juu
Kwani zimebaki ngapiSawa mkuu..cashout inatamanisha ni 66k sema nakomaa kibishi sitoi.
Nilikuwa namzungumzia Kawasaki hapo juu,timu inaongoza ligi lakini haitabiriki kila mechi ,amenichania sana mikeka huwa hata apewe odds ndogo simbetiKuna game inaenda kuangusha treni flani hivi... Kawasaki vs shimizu
ChukuwaSawa mkuu..cashout inatamanisha ni 66k sema nakomaa kibishi sitoi.
Ukijumlisha na ushirikianoSijawahi kuona watu wenye akili Kama nyinyi. Wadau mna nguvu kubwa Sana ya kufikiri.
Sijawahi kuona watu wenye akili Kama nyinyi. Wadau mna nguvu kubwa Sana ya kufikiri.
Siyo mikeka yote inacashout option, na siyo wakati wote unaweza kucashout. Kuna muda inakubali/kukataa kulingana na muda wa mchezoWadau naomba mnieleweshe, account yangu ya betpawa haitoi cash out hata kama hakuna mechi inayocheza. (Inasema cash out unavailable try again shortly)
Shida inaweza kuwa nini kwa nyie wazoefu?. Natumia halotel
Safibet pawa
odds 2000+
517C61C
Sent using motorola 78