Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,195
- 4,551
Boom la sita tizameni tu kodi hizoTJ6LL
Boom la sita tizameni tu kodi hizoTJ6LL
Sio kwel mm namfaham jamaa mwenyew sijawai ona anauza odds ww unasemea loyal huko wapo kama 10 tu wana stake kuanzia ml + hakuna wa laki laki huko odds mwisho 1.80Hahahah ana group lake ana uzaga odd pia ambacho ana zingua kusema Tu stake high kumbe yeye kaweka 1000
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Hahaaa nikifuata tu code nyingine lazima kipigoBoom la sita tizameni tu kodi hizo
Fuata unachokiamin
CDZLL ila zingatia n kamali
HongeraIla betting bhana
Usiku huu nimeweka mechi tatu tu,za over 3.5 nikaweka 5K ikaja 271,000....mechi mbili zikatiki nikaogopa kusubiri hiyo moja nikaona nicash out nikapewa 79K
Naangalia hiyo mechi niliyoogopa nayo imetoa over 3.5
Imeniuma kukosa 270KHongera
Kuliko kupigwa bora hiyoImeniuma kukosa 270K
Umetunyima codeIla betting bhana
Usiku huu nimeweka mechi tatu tu,za over 3.5 nikaweka 5K ikaja 271,000....mechi mbili zikatiki nikaogopa kusubiri hiyo moja nikaona nicash out nikapewa 79K
Naangalia hiyo mechi niliyoogopa nayo imetoa over 3.5
Yeah,huwenda nisingecash out ningechanaKuliko kupigwa bora hiyo
Sema naona romania zinatoa sana over na wanazipa odd mzigo nadhan uliwafuata hawaYeah,huwenda nisingecash out ningechana
Mkuu nilibet odds ambazo sikuwa na uhakika nazo kabisaUmetunyima code
Odds zao huwa ni kubwaSema naona romania zinatoa sana over na wanazipa odd mzigo nadhan uliwafuata hawa
Kwenye odd ndo hua naogopa bt zinatoa hebu chambua za kesho mkuu napigwa mno mpaka leo nimeenda kwa mwamposa kuchukua mafuta na maji ya upakoTeam za romania zina magoli sana,na odds zao huwa ni kubwa
Ndio hiyo ya romania niliiogopa
Kesho(leo) nimeweka over 3.5 mechi za China super league,ziko nne...odds 170+Kwenye odd ndo hua naogopa bt zinatoa hebu chambua za kesho mkuu napigwa mno mpaka leo nimeenda kwa mwamposa kuchukua mafuta na maji ya upako
Tuma mkuu maybe ntachomoka nilifuata tren lako ila sijui liliangukia wapi nilikuta tuu mkeka haupoKesho(leo) nimeweka over 3.5 mechi za China super league,ziko nne...odds 170+
Nitaweka na treni la over 1.5
Hahahhh poleTuma mkuu maybe ntachomoka nilifuata tren lako ila sijui liliangukia wapi nilikuta tuu mkeka haupo