Option gani mkuu ya kucheza single gameTafuta mtaji then cheza single game kwa nidhamu
Option gani mkuu ya kucheza single gameTafuta mtaji then cheza single game kwa nidhamu
Option ziko nyingi we utaangalia inayokufaa afu unaicheza bila kuchanganyaOption gani mkuu ya kucheza single game
huu wa pili utazame tena hapo nmepita odds 1.50 nnayokwambiahiyo ya kwanza leoView attachment 1859811
Hahahahah mm Leo acha niwe ndugu mtazamaj tuHahaaa mdau nikweli goma lilichanika, nina hamu sana ya kutembelea Vanguard lakini nafeli
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
nmesell mkuu na kwa vile hunijibu naona tuishie hapa
Aiseee pole sanaMungu ni wetu soteeView attachment 1859290
PoleeeMungu ni wetu soteeView attachment 1859290
mkuu na huu ni wa 3 kwa leo kwahiyo usiwakatishe watu tamaa njia kama hizi kuna wengine wakitulia wakukusanya mtaji nakuacha tamaa watakuwa wanaokoa hapo bado corner 1 nchukue mpunganmesell mkuu na kwa vile hunijibu naona tuishie hapaView attachment 1860023
Kumbe kubeti sio kamari.Nilikuwa namtazama Abas Tarimba hapa EFM anaongea kuhusu maswala ya kubeti
- kubeti SPORT sio kamari, ni uwekezaji ndio maana inabidi uwe apdated na taarifa zote muhimu za timu unazobetia kama usajili mpya, kikosi injuries nk. Barcelona akicheza na Liverpool usimbetie tu Barcelona kwa sababu unaifahamu, angalia taarifa muhimu za vikosi.
- Mchezo ya CASINO ina adiction mbaya, kuna watu huwa hadi wanazuiwa kucheza kwa sababu ya ku-chase lost. Ukiona umefikia hatua hiyo omba msaada hata kwa ndugu wakudhibiti, picha yako itabandikwa kwenye milango ya CASINO ili ukiingia uzuiwe.
Yeye Tarimba hadi anatoka pale gaming board kuna watu wawili watatu walikuwa wamezuiwa kucheza kwa sababu ya adiction.
- Yeye Tarimba anapenda hii kodi 15% ishuke zaidi kwa sababu kuna wabetiji wakubwa ambao amewaita high rolles wanabeti makampuni ya nje ambayo hayatozi kabisa kodi kwenye ushindi, so serikali inapoteza hela.
Ni ibadaKumbe kubeti sio kamari.
Ni uwekezaj wa mrefu tu komae tu nikama uchukue ml 30 ukanunue shamba la mitiki mafinga iringa ndan ya miaka 10 ndio uvuneKumbe kubeti sio kamari.
Betting mkuu ukiwin shukuru mungu hakuna njia rahis kuna ndugu yetu humu alikuja na njia ya kuweka lak 3 anatafuta 30000 katufundisha sana tumfuate kapiga hela siku 19 lakn upepo ulivyo change akawa anahitaj huruma tena hahah betting naiheshimu hata nile mwez kwa mbinu Fran najua itachange tumfano kama hii tena mimi huwa naeka odds 2 naaView attachment 1859614View attachment 1859615View attachment 1859616View attachment 1859617
LETA link mkuu tukomae naoNaona betway nao wameingia TZ kuja kula hela zetu!
Hii nzuri Sana mkuu
ifate mkuu kwa stake ya kawaida tuuHii nzuri Sana mkuu
Sawa mkuu,nimependa hayo machaguo ya odds ila mm hua nacheza single kwa stake kubwa mkuu!!mfano hapo ningetembea na hiyo 1.2 peke yake kwa stake kubwaifate mkuu kwa stake ya kawaida tuu