BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Wauza tips HAOOO wasikuumize.kichwa jifunze.kutowajibu m nawawekea.emojiDah ! Too sad! Uzi umeanza kupoteza mvuto. Yaani watu mnashinda kumjamdili mtu, ambaye pengine akusaidii chochote katika maisha yako. Ye anachofanya ni kushare his tips kama ilivyo kwa wengi humu ndani. Iwe ni Won au Lost yote ni matokeo ya betting.
Muhimu mtu anaposhinda jifunze kutokana na mbinu aliyoitumia na hata anapopoteza jifunze pia. Tuendelee kupeaba hizo tips na tuache kuwajadili watu.