Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,685
- 71,555
PersepolisInacheza na nani ?
PersepolisInacheza na nani ?
Kaka kwenye playmaster Sion sehemu ya kupaste codes
Pole mkuu hao wachina nawajua magoli hawatoagi lakini hapa nazungumzia zile timu za chini chini kwenye msimamo zinakuwaga SlowImeniliza parefu sana mkuu
Kule juu kuna sehemu imeandikwa Coupon Check..Kaka kwenye playmaster Sion sehemu ya kupaste codes
Mtaji wote niliomake kapita nao wacha nikalale labda nikaamka na akili mpyaPole mkuu hao wachina nawajua magoli hawatoagi lakini hapa nazungumzia zile timu za chini chini kwenye msimamo zinakuwaga Slow
Odd 2 daily au odd 2 kumi kwa siku. Naona huko kwa group migame kibaoooo au unasema unatengeneza odds 2 daily kwa siku 10. Weka odd 2 tu kwa siku kwa siku 10 ndo useme unatengeneza 1m kwa siku 10. Rollover sio mchezo dada mtamu. NawakilishaWadau katika pitapita zangu nimekutana na mbinu nzuri ya kutengeneza 1m kwa siku kumi.
Kizuri kula na mwenzio.
Style yako kiboko 😅 ukiliwa unaliwa kwa haki
Hivi 1xbet,ukiweka pesa kupitia wakala mzigo hauchelewei? Vipi wakati wa kutoa.Wahun tu mm nimeweka pesa niwai gemu kuna mdau alitoa za over 3.5 mzigo mpaka muda huu haujafika nimeona niendelee na 1xbet tu
Hii ngoma si ajabu ikatoa.
NahamiaHamia xbet acha kulalamika kishamba! Unaogopa kutapeliwa elfu 20 wakati muhindi amekula zaidi ya hio na hamna kitu utafanya!
Tunaweka laki mpaka million 2 na kuzitoa kwa mawakala bila shida.
Nilivyowaelewa unachagua 2 utakazo. Sijui lakini sijajaribu.ndo nineiona leo hiyo channelOdd 2 daily au odd 2 kumi kwa siku. Naona huko kwa group migame kibaoooo au unasema unatengeneza odds 2 daily kwa siku 10. Weka odd 2 tu kwa siku kwa siku 10 ndo useme unatengeneza 1m kwa siku 10. Rollover sio mchezo dada mtamu. Nawakilisha
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Frank ana group?Mkuu tunaomba ujiunge na grp la frank kule tsap au la chief ili mkiwashe vzr cc wafata code tufate tu
Weka link mkuuKuna ubaya gan mkuu? Nmemuomba ajoin grp ili iwe rahisi kuweka code kule wasap au Telegram kama Frank anavyofanya japo na uku pia anatuma...kuna ubaya gani apo Mkuu punguza lawama na makasiriko
ThanksKule juu kuna sehemu imeandikwa Coupon Check..
View attachment 1784625
Betpawa haujawahi kujitakia dhahama, game nyepesi haweki kabisa, na zile anazojua zina magoli utakuta kaanzia ov3. 5.Betpawa haipo hii hata ile ya china ya mwisho haipo sijui tatizo nn