beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 822
- 1,133
Hii roho mbaya sana muache ashee upendo na watanzania au unataka kumfanya asset?Mkuu tunaomba ujiunge na grp la frank kule tsap au la chief ili mkiwashe vzr cc wafata code tufate tu
Hii roho mbaya sana muache ashee upendo na watanzania au unataka kumfanya asset?Mkuu tunaomba ujiunge na grp la frank kule tsap au la chief ili mkiwashe vzr cc wafata code tufate tu
shukurani mkuu tukizipata tutakuwa tunaweka watu wapateZimeenda kama zilivyo... salute kwako.
Kaka nimepata buku mbili weka sure bett nipate mtajiKaka acha tu sema nimeamini kuna baadhi ya mechi wana fix
nikipata nitaweka mkuuKaka nimepata buku mbili weka sure bett nipate mtaji
Hao kama wamefungwa jelaHamia xbet acha kulalamika kishamba! Unaogopa kutapeliwa elfu 20 wakati muhindi amekula zaidi ya hio na hamna kitu utafanya!
Tunaweka laki mpaka million 2 na kuzitoa kwa mawakala bila shida.
Kuna ubaya gan mkuu? Nmemuomba ajoin grp ili iwe rahisi kuweka code kule wasap au Telegram kama Frank anavyofanya japo na uku pia anatuma...kuna ubaya gani apo Mkuu punguza lawama na makasirikoHii roho mbaya sana muache ashee upendo na watanzania au unataka kumfanya asset?
Tupia tuone.Wadau katika pitapita zangu nimekutana na mbinu nzuri ya kutengeneza 1m kwa siku kumi.
Kizuri kula na mwenzio.
Hapo nimekusoma mkuu nilijua unataka kumvuta sehemu ambazo sisi hatupo anatusaidia sanaKuna ubaya gan mkuu? Nmemuomba ajoin grp ili iwe rahisi kuweka code kule wasap au Telegram kama Frank anavyofanya japo na uku pia anatuma...kuna ubaya gani apo Mkuu punguza lawama na makasiriko
Frankie ana group embu nitumie link pm mkuuMkuu tunaomba ujiunge na grp la frank kule tsap au la chief ili mkiwashe vzr cc wafata code tufate tu
Hawagusi sababu city anachezea sana mpiraGame ya Man city now wameweka hii option ya kutouch ball.. Mnasemaje wakuu, tuivizie..?
Pamojanikipata nitaweka mkuu
Ngoja niitafte mkuuFrankie ana group embu nitumie link pm mkuu
ila hiyo game ya china ya kuanzia saa 9 itazingua kama kuna cash out walio weka wafanye hivyoIla tangu nimeanza kuifuatilia Betpawa naona ni kampuni yenye upepo sana! Yani kushinda ni kama kuna wepesi flani compared na makampuni mengine ya kibongo ila tatizo tu kodi ndio kitu sikipendi kwao!
Baadhi ya League si mechi kuna league ku fix correct score ni ngumu labda nani ashinde si correct scoreKaka acha tu sema nimeamini kuna baadhi ya mechi wana fix
Kweli kabisa.ila hiyo game ya china ya kuanzia saa 9 itazingua kama kuna cash out walio weka wafanye hivyo
Cashout hawatakiila hiyo game ya china ya kuanzia saa 9 itazingua kama kuna cash out walio weka wafanye hivyo
Mh....ujue n ngumu kufika 3.5overCashout hawataki
Yes haiwezkan kabisa aisee, tumepigwaMh....ujue n ngumu kufika 3.5over
Hahahah whatsap tena?Mkuu tunaomba ujiunge na grp la frank kule tsap au la chief ili mkiwashe vzr cc wafata code tufate tu