Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,476
- 8,599
Hapo unatamani ungeweka 500k😅
Tuna fanya hivyo kulinda utambulisho wetu SI vingineBasi ni code tofauti,sio hiyo uliotag hapo, japo hata huu ni kama umecrop
Mie. Natamani ningetia hata million kabisa nile laki 8 yangu fastaHapo unatamani ungeweka 500k😅
Umesuka kweli aseew lakini sasa Juve Leo sijui kama anatoboaTukae umo.View attachment 1782360View attachment 1782362View attachment 1782363
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Haka ka option kamefichwa wap
Ila ikienda lazima udate 😀Mie. Natamani ningetia hata million kabisa nile laki 8 yangu fasta
Dah hapo sasa ndio unajikuta umeishia kuweka buku 5 tuIla ikienda lazima udate 😀
Ila betting ni raha, more risk more profitDah hapo sasa ndio unajikuta umeishia kuweka buku 5 tu
Duuh hii imechana. Sijaelewa yaani goalkeepers wote wawili wameshika mpira mmh
Yani maana mpira ulicheza ukaenda goli A halafu ukarudishwa kati ukachezwa mpaka goli B ndani ya dakika 3!Duuh hii imechana. Sijaelewa yaani goalkeepers wote wawili wameshika mpira mmh
Hata kama kipa hajagusa..?mpira ulicheza ukaenda goli A halafu ukarudishwa kati uk
Alafu ndo nililipuka duh nimelala nacho leoYani maana mpira ulicheza ukaenda goli A halafu ukarudishwa kati ukachezwa mpaka goli B ndani ya dakika 3!
Option nzuri kwa timu ambazo wanaumiliki mpira hawabutui butui kumrudishia kipa!
Na wao wajanja wa nakupa team za butua butuaaYani maana mpira ulicheza ukaenda goli A halafu ukarudishwa kati ukachezwa mpaka goli B ndani ya dakika 3!
Option nzuri kwa timu ambazo wanaumiliki mpira hawabutui butui kumrudishia kipa!
Haaahaa ***** kila ukisuka treni chali ukisema uweke timu mbili chaliWakuu mtu mwenye picha ya Muhindi au Mrusi anaekula pesa zetu anitumie tafadhali.