Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,106
- 173,890
Uko TelegramMkeka wake aliyoweka uko wapi ?
Uko TelegramMkeka wake aliyoweka uko wapi ?
1xbet is the bestInabidi tukawaandikie awa bet 22 ujumbe umu wote tunaotumia bet22 kuomba wajitoe na Hawa M Lipa Maana wanachelewesha mambo na code zao zipo juu sana kwanini wasifanye kama makampuni mengine local inabidi tuwawaombe kwa pamoja jaman haiwezekani kudeposite makato yawe makubwa vile na kuwithdrawn ichukue adi week mambo gani ayo
Yan wabongo vichwa vigumu kwel sasa ww makampun ya kubet yapo zaid ya kumi na unakumbana na matatzo hayo hayo kila siku SI UHAMIE kampun nyingne ndugu?Inabidi tukawaandikie awa bet 22 ujumbe umu wote tunaotumia bet22 kuomba wajitoe na Hawa M Lipa Maana wanachelewesha mambo na code zao zipo juu sana kwanini wasifanye kama makampuni mengine local inabidi tuwawaombe kwa pamoja jaman haiwezekani kudeposite makato yawe makubwa vile na kuwithdrawn ichukue adi week mambo gani ayo
Big boom wooon
Mkuu uko vizuri chekecha leo niweke simu Bondi nimlize mrusiBig boom wooon
Tip Master anakufa sana siku iziHawa Napoli kwa Mara nyingine wanamlaza tip master na viatu
Wooon mkuu imetoa imerudisha pesa ya jana nilikufuata nikachezea za uso..tupia mingine nikutafutie mtajiTUENDELEE NA KAZIView attachment 1781756
Kuna wakati wa kupanda na wakuvuna sasa yuko kwenye kupanda ngoja tumsubirie kwenye mavuno japo kuna kaharufu cha kanji kwa mbaliTip Master anakufa sana siku izi
Mzee wa Nigeria leta mamboBig boom wooon
Tip master kwa sasa simuelewi elewi mpaka nahisi kuna mkono wa kanji kama unavyosema aisee. Naona akila leo mkeka unaofata anapigwa.Kuna wakati wa kupanda na wakuvuna sasa yuko kwenye kupanda ngoja tumsubirie kwenye mavuno japo kuna kaharufu cha kanji kwa mbali
Fuata maelekezo hapo chini.Mkuu hapo tukisha ingia tunafanyaje?? Nielekeze kidogo account ninayo
Nimepigwa za usoo mapeemaaTUENDELEE NA KAZIView attachment 1781756
sijaelewa kbs mkuu toa ufafanuzi kwa kinaFuata maelekezo hapo chini.
Weka Bet ID yoyote uliyowahi kubeti wewe wiki hii hata kama haukula ela ya mhindi, kisha hiyo namba iweke hapo (Mfano. #1648890965) Kisha kuna sehemu hapo chini utaandika Jina lako na namba yako ya simu. Mchezo umeisha.
Ukitaka kuwatag na watu wengine wawili unaruhusiwa maana kuna link hapo mwisho.
IYO MKUUWooon mkuu imetoa imerudisha pesa ya jana nilikufuata nikachezea za uso..tupia mingine nikutafutie mtaji
ime lost au?Nimepigwa za usoo mapeemaa