sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Ndo mana. Mi nilichukua kama ilivyoDuuh nili edit na kuchanganya mech zingine
Ndo mana. Mi nilichukua kama ilivyoDuuh nili edit na kuchanganya mech zingine
Mbona kwangu kule chini kabisa inaandika COOKIES DISABLED ila nikiangalia setting za site cookies zipo enabled?mwenye account na wanaotumia betpawa pls.. huna haja ya kuweka mkeka , ingia tu kupitia hio link alfu logout, lengo ni kuongeza nafas ya kushinda hizi prizes
+255 677 673 272 mhonde wakala wa 1xbet
Mimi nina deposit kwa kutumia Airtel mastercard mkuuu. Simple tu
Kivipi yani bila kuweka mkeka, na wenyewe wanasema uweke mkeka,mwenye account na wanaotumia betpawa pls.. huna haja ya kuweka mkeka , ingia tu kupitia hio link alfu logout, lengo ni kuongeza nafas ya kushinda hizi prizes
Unatoaje pia mkuu?
Unatoaje pia mkuu?
Umewahi toa?Natumia card pia kutoa
Tupo pamojaBetpawa treni
3BB1B28
2000+ Odds, unaweza edit upendavyo
Imetoa wadau22bet code HQ289
Booom woon22bet code HQ289
Ukiliwa mara 2 utaelewa, ivi ivi inaonekana umegomaHabarini wadau, naomba kuuliza hivi hawa jamaa wa telegram ni wa kweli? Kuna mtu ashawahi kununua tiketi zao na akashinda? Maana mimi nimo mle kama mtalii naona admin kila siku anapost odds za kutosha na kesho yake anaweka mkeka umetiki. Kuna ukweli ndani yake au ni scammers?
View attachment 1775141View attachment 1775143
Bado waingereza tu hapaaaa dah
Man u loose.Bado waingereza tu hapaaaa dah