Mkuu usidanganyike, mwaka jana nilipigwa elfu 30 huko telegram, baadae jamaa akaamua kuniblock. Niliumia sana sanaHabarini wadau, naomba kuuliza hivi hawa jamaa wa telegram ni wa kweli? Kuna mtu ashawahi kununua tiketi zao na akashinda? Maana mimi nimo mle kama mtalii naona admin kila siku anapost odds za kutosha na kesho yake anaweka mkeka umetiki. Kuna ukweli ndani yake au ni scammers?
View attachment 1775141View attachment 1775143
Kimbia na usigeuke nyumaHabarini wadau, naomba kuuliza hivi hawa jamaa wa telegram ni wa kweli? Kuna mtu ashawahi kununua tiketi zao na akashinda? Maana mimi nimo mle kama mtalii naona admin kila siku anapost odds za kutosha na kesho yake anaweka mkeka umetiki. Kuna ukweli ndani yake au ni scammers?
View attachment 1775141View attachment 1775143
Hata mi nazitaka hizi pesa. Ziko wapi za leo Investers wenzangu?Don't loose focus Mkuu,KAZI IENDELEE!!!
View attachment 1774828
View attachment 1774829
View attachment 1774830
Nimeandaa laki nasubiri jamaa atupie niruke mazimaa. Liwalo na liwe.Hata mi nazitaka hizi pesa. Ziko wapi za leo Investers wenzangu?
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Sio ww tu htmm sema atume miwili naweka 50 50 mmoja ukichana mmoja uludisheNimeandaa laki nasubiri jamaa atupie niruke mazimaa. Liwalo na liwe.
Chukulia poa, humu watu wana wivu mnoShukrani,as long kila mtu ana uhuru wa kupost,jukwaa huru!!!
+255 677 673 272 mhonde wakala wa 1xbetWadau msaada namba ya wakala wa 1xbet nahitaji huduma tafadhali
Ya jana ilitoa au?
Mr Mhonde toka asubuhi hayupo hewani naomba kama kuna mwingine wadau+255 677 673 272 mhonde wakala wa 1xbet
+255 717 927 827 etoo wakala wa 1xbetMr Mhonde toka asubuhi hayupo hewani naomba kama kuna mwingine wadau
Mbona mi niliweka nikapata loss 😑Yeah, ilitoa
Ndoto hizo kwa mechi za siku hizi very riskNashida na odds 15 niweke ten