umekufa kibabeeee***** wanawake hawafai kabisa sijui walikua wanachez rede yaan dkk 15 goal 5 wale wanaotak slip za loss hizo hapoView attachment 1720719
Nilienda kucover dakk 82umekufa kibabeeee
mkuu mie nlitega kabsa notification pindi goli linapoingia..Nkajua tu utkua umestake mlima..Pole mkuu.***** wanawake hawafai kabisa sijui walikua wanachez rede yaan dkk 15 goal 5 wale wanaotak slip za loss hizo hapoView attachment 1720719
Nilienda kucover dakk 82 View attachment 1720721
Daah ndug hawa wanawake tuwaogope sana hawana uchungu na hela kabisa59th min 9-0.
boss iyo application gani watumia mkuuNilienda kucover dakk 82 View attachment 1720721
pia nlipost humu kwa kuzisema hizi kampuni za kubet huenda wabatufanyia hujuma tu..coz ktl hiyo game sijaona statistics..wala goals scorers wowote..yaani naona magoli yanaingia tu..mfungaji humjui..KAMA PIA HILO NI KOSA..
Sasa kama unaona inazingua kwanini bado unaendelea nayo na unajua kabisa kuna makampuni mengine? Vitu vingine ni kujiongeza tu sio mpaka uulize! Ukiona huku chenga unahamia kwengine napo ukiona chenga unarukia kwengine tena mpaka utakapopata penye unafuu!
Mj tell me that
Yani anataka tuanze kutoa maelezo tena wakati vitu vipo Uchi kabisa
Yani anataka tuanze kutoa maelezo tena wakati vitu vipo Uchi kabisa
Mzee ukoNgoja niwakeree kidogo View attachment 1720777
Huu mchezo mtamu sana Ukijilipua ukalipukaMzee uko
Mkuu shida nn?mkuu makampuni mengine kuweka au kutoa pesa ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Basi endelea kuteseka hapo hapo Meridian, wenzio waendelee kula bata Makampuni hayo unayosema magumu kutoa na kuweka!mkuu makampuni mengine kuweka au kutoa pesa ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kuna njia mbadala labda hujazijua! Watu wanadeposit 1x bet kwa njia ya wakala! Mawakala wapo humu kibao wanajitangaza daily! Ukiachana na wakala pia kuna 22bet inafanana kila kitu exactly kama 1x bet ila wao tu unakatwa kodi! Lakini njia zao za kudeposit zipo wazi kabisa mitandao yote ya kibongo ipo ndani ya dakika 1 unadeposit na kuwithdraw! Sasa wewe Endelea kulalamika ndio maana watu wanakupita tu kama hawakuoni vilemkuu makampuni mengine kuweka au kutoa pesa ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Stake shikamoooNgoja niwakeree kidogo View attachment 1720777