Hapana hiyo ni handicap kaka sio HT au 1H win. Handicap ni mfumo wa kuipa timu goli na kunyang'anya nyingine. Alichagua 2 (1:0) ikiwa na maana kwamba away ambaye ni Simba ashinde kwa kumnyang'anywa goli 1. Au kifupi ni kwamba Dodoma wakati mpira unaanza alikuwa anaongoza 1-0 dhidi ya Simba. Hiyo ndiyo maana ya Handicap. Kwa hiyo matokeo ya FT: 1-2 na kwa kuwa alimpa Simba ushindi maana yake ni kuwa lile goli ulilompa away + goli alilofunga, FT inakuwa 2-2 ambayo ni droo. Hiyo ndiyo maana ya Handicap mzee wangu, tuishi humoHapana mkuu alimpa Simba ashinde kipindi Cha kwanza lakini wametoka zero
Hapo ni draw coz ulimpa DODOMA goal 1 la bure kabla hawajaingia uwanjani, kisha simba ashinde.Mkuuu ongera naona imetoa mkuu
Jamii forums nilikuwa nimeifuta baada ya kuufungia huu Uzi lakini leo ktk pitapita zangu nikakutana na if kuchungulia nikaona wazee wa kuweka mizigo ndipo nikacheki nikakuta wakina mayu wanaweka mizigo ndy nimerudi hivyo
Hii kampuni gani unayotumia?
Hi ni app gani
Natumia wakalaHivi options zao za ku'withdraw na ku'deposit zikoje
Naomba unielezee kidogo mzeeNatumia wakala
Jamii forums nilikuwa nimeifuta baada ya kuufungia huu Uzi lakini leo ktk pitapita zangu nikakutana na if kuchungulia nikaona wazee wa kuweka mizigo ndipo nikacheki nikakuta wakina mayu wanaweka mizigo ndy nimerudi hivyo
Wasiliana na MLIPA wataisukuma fasta. Namba zao google MLIPA au DATAVISION INTERNATIONAL.Nimedeposit 22bet na pesa imeenda ila 22bet haijafika
Nawasiliana nao naona wamepiga kimya
Kuna mwenye uzoefu na hili?