Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,224
- 3,845
Vp mkuu uliweka parefu?Kuna muda huwa mambo yana goma kabisaaa
Kuna muda unapiga mpunga safiii
Ups and down zipo mkuu
Ni sawala la kujua pia ni wakati gani ubet na wakati gani upumzike
Hebu wadhamini Simba na Liverpool direct win kwa 100k