Wizi tu hakuna kitu huko,subiri ligi zirudiHabari wakuu wa Jamvi hili la JF
Ligi nyingi za mpira wa miguu duniani zimesimamishwa kutokana na Janga hili kubwa la Corona. Kutokana na janga hili makampuni mengi ya michzo ya kubashiri (Betting) yamekuja na mchezo mwingine unaitwa Simulated Reality League.
Kwa wataalamu wa haya mambo tupeane uzoefu namna ya kutengeneza mikeka na kupunguza ukali wa maisha hasa katika kipindi hiki cha kujiweka karantini.
"Stay home, Stay Safe"
Off course nmesikia bundasliga wanarudi soonMkuu ligi zitarudi soon.. Ligi kama Ujerumani, England.. Haraka ya nn utateseka huko
Yaaah, msijari vijana mtafanya tu mambo zenu zileOff course nmesikia bundasliga wanarudi soon
Kule n sehem y kuweka ggHii ligi ya Belarus imeniokoa Sana hapa katikati.
Kwenye hizi virtual games tusiweke 3way results, labda matokeo Kama gg over/underUkitaka pesa yako iishe mapema bet izo virtual games. Utaumiaaa. Mhind naye vyuma vimekaza unadhani familia yake watakula wap
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa Mkuu,
Daaa,,, iliporudi tu nikaendeleza iko laki na themanini na tatu. Kumbe napiga kazi bure.Airtel Laini Hazipokei Mtonyo, Zinalipa Tu
Cha Kufanya Weka 20 Kwa Kutumia Wakala Wetu Hawa
Then Cheza Tena Ikifika Hata 50k Jaribu Kutoa Kwa Wakala.
Lakini Pia Tusaidie Wapwa Zako Ulikuwa Unacheza Mchezo Gan Na Ulitumia Mbinu Gani?
Regards
Mtwara Smart
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuweka hata 5,000 kupitia kwa wakala then hyo option ya 1*cash utaionaMbona hiyo 1xcash siioni mkuu