guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
Meridian naona wanayoBro nisaidie kama kuna kampuni nyingine nzuri ambayo wana hizi virtual sport games tofauti na betpawa
Umetukimbia mzee baba.
Nilikuwa sijawah tumia wakala nikajarib bk 3 leo kufumba na kufumbua imesoma, sasa nahangaika na table tennis
Hawa mawakala wangetakiwa kuwa na Group mf. Telegram, ili iwe rahisi kuwapata na pia kama kuna wakala atakuwa anazingua ni rahisi kumJudge na wateja kufahamu kuwa wakala huyu anazingua, na hili linawezekana kama wangekuwa na platform au Telegram group la mawakalaNilikuwa sijawah tumia wakala nikajarib bk 3 leo kufumba na kufumbua imesoma, sasa nahangaika na table tennis
Sent using Jamii Forums mobile app
yaaani nimepigwa mpaka nimekaa pemben mwenyeweKweli betting haina fair Table Tennis Nako Ni kama Virtual tu majanga tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unacheza option ganiyaaani nimepigwa mpaka nimekaa pemben mwenyewe
Gharama ni sawa na ya kutoa kwa wakala wa mpesa au tigopesa lakn pia kuna baadhi wanatoa ofa sometimes punguzo na hyo ndio faida anayoipata yeye kama wakala. Ukiwachek watakupa list yote kiwango unachotaka kuweka na gharama ya kutolea. Mfano ukiwa unaweka 10,000 utamtumia 11,400.Tupe na gharama ya kutuma na kutoa mfano kuanzia sh 1000 mpaka 9999 ni sh ngap
Sent using Jamii Forums mobile app
yaaani nimepigwa mpaka nimekaa pemben mwenyewe