Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,155
- 4,719
Na ndio maana makampuni ya ulaya hawatozi kabisa kodi wanajua kazi ya kubashiri mambo yajayo bila kutumia teknolojia yeyote ile ni ngumu. So kodi ni kuoneana tu.Kwanz me naona serikali wanafanya dhulma sana Upande wa betting sema tu hakuna wanaolalamika.
Hivi inakuwaje mfn me na loose mkeka ina mana bookmarker ye analipa kodi kwa kila mikeka ambayo nimelost, jibu hapo obvious ni hapana.... Sasa iweje mimi kila nikiwin nikatwe tena kodi hapo?
Hii haiko sawa kabisa ndio maana hata haya makampuni mengine huamua tu kutulipia hizi kodi kwa kutuonea huruma ....
Haya makampuni ya kitanzania ni waoga balaa, unakuta timu fulani kwenye H2H huwa hawavuki goal 3, then unakuta wao wameanzia na over 3.5 (hapo manake wanaitaka hela yako kwa nguvu, kuwin manake umechoropoka tu)
Au unakuta option yenye unafuu wa kuwin wanaificha huko! (princess bet).