Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,756
Huyo mjinga mimi tangu nimemtukane huwa ananirekebishia miamala yangu haraka sana.022 2701845
Omba kuongea na Meneja/Supervisor..Muelezee tatizo lako alishughulikie mwenyewe muambie humtaki jamaa mwenye namba inayoishia na 13 akusaidie Sababu ni Mpumbavu.
M-Lipa huyu jamaa 0758460813 Mpeni kazi nyingine Customer care haiwezi kabisa..
Nilimbembeleza nikaona mwisho ni upuuzi nilimwambia jambo moja tu.
"Kama wewe ni Mwanaume na una nyodo hivyo hivi ungekuwa mwanamke ingekuwaje"
Hahhaha toka siku hiyo hadi leo hana upuuzi akiona sms yangu yenye kutaka usaidizi.