bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,641
Jamani hakuna aliyeangalia game ya arsenal humu?
Mi nahisi wataliano wanauza mechi aseeban list
monaco,napoli,inter,atletico,
Yani inter tu ndo kanikosesha mpunga dah siamin
Leicester hata wasingepigwa tatu wasingeweza tu kutoka kwa bournmouthHivi leicester city vipi hawa washapigwa tatu bilaView attachment 867201
Arsenal anatoa dozi kuleJamani hakuna aliyeangalia game ya arsenal humu?
Anaongoza 2-0 ArsenalJamani hakuna aliyeangalia game ya arsenal humu?
Hakuna steep popularity hapa lete ushahidi ili na wengine tujiunge huko nyinyi ndio matapeli wa JF hamna tofauti na Ontario.shabashUsitake umaarufu humu JF kwa kupitia huu uzi, hapa watu tupo kazini halafu unataka kuleta kiwingu.
Kama hauko interested na hii business nenda kwenye nyuzi zingine maana zipo kibao, huo ushauri wako hauna tija kwa sasa.
Hahahahahha man unatisha sanaJamani aliyeangalia game ya arsenal na Newcastle dk ya kwanza kulikuwa na throw in au la?? Msaada wenu maana kuna bilioni 4 zangu mrusi naona anazifanyia hujuma hapa maana green colours zinamtisha.
Ngoja ntupie mkeka wa madhambi niue team kubwaSijui naota au ni muindi kanipiga Sana lakin iko Kama naona fiorentina atashinda hyo mechi.View attachment 867264
Nataka kufahamu ile wakati mpira unaanza kulikukuwa na Throw in au la katika dk ya kwanza yaani 00.00-00.59Anaongoza 2-0 Arsenal
Mzee jamaaa atakuwa ameliwa pesa huyoUsitake umaarufu humu JF kwa kupitia huu uzi, hapa watu tupo kazini halafu unataka kuleta kiwingu.
Kama hauko interested na hii business nenda kwenye nyuzi zingine maana zipo kibao, huo ushauri wako hauna tija kwa sasa.
Ngoja nikuangalizie ila sjaona dk sasa hapa nakuwajeJamani hakuna aliyeangalia game ya arsenal humu?
Hahahaha kama hujaangalia game ni ngumu kuionaNgoja nikuangalizie ila sjaona dk sasa hapa nakuwaje
Mkuu kuwa mtaarabu. Men at work hereHakuna steep popularity hapa lete ushahidi ili na wengine tujiunge huko nyinyi ndio matapeli wa JF hamna tofauti na Ontario.shabash
No throw in!Nataka kufahamu ile wakati mpira unaanza kulikukuwa na Throw in au la katika dk ya kwanza yaani 00.00-00.59