theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,642
Kabisa mkuu... Big boi naona anampiga vilivyo mhindinliufata pia huu wa kwanza nkafikia pua ila mapambano bado yanaendele
Kabisa mkuu... Big boi naona anampiga vilivyo mhindinliufata pia huu wa kwanza nkafikia pua ila mapambano bado yanaendele
Unaweza nisaidia kujua app gani jamaa anatumia kuweka bets zake?nliufata pia huu wa kwanza nkafikia pua ila mapambano bado yanaendele
Ukitengeneza wa leo usitusahau Mzee Baba....
cjaijua asee ngoja ajibu mkuuUnaweza nisaidia kujua app gani jamaa anatumia kuweka bets zake?
mbona tarehe ya jana na leo?
Hawa jamaa mbona wapo vizuri mzee baba, na kama ukipata issue ukireport watakusaidia tu, customer care yao wapo fasta sanaUshauli wenu nikawashitaki wapi hawa princessbet maana hawataki kunilipa pesa ambayo nimeshinda
Wapo safi ila kwenye mikeka ya kuendelea siku tano au wiki wanamatatizo yaoHawa jamaa mbona wapo vizuri mzee baba, na kama ukipata issue ukireport watakusaidia tu, customer care yao wapo fasta sana
Ni sawa lakini tatizo mitajimphamvu your right much respect.
Kweli aiseeWazee wa kubet tuunde group whatsaap
Niunganishe na magroup kadhaa sasa mkuuwadau wa magroup mbona mshaambiwa lakini hamsikii hii forum mnataka ife au?mbona kuna magroup kibao simjiunge huko kama vipi unatafuta nn sasa huku?
Humu humu panatosha kutekwa hatutakiWazee wa kubet tuunde group whatsaap
Namie nataka ,tuunge nguvu ya kumchabanga muhindi...na huku kwenye jukwaa tutakuwepo wasiogope wakuuNiunganishe na magroup kadhaa sasa mkuu
nenda pale fast registerMsaada jamani namna ya kujisajili 1xbet na kupata promo code tafadhali shukrani
Ndo maana mi nataka kuwahama hawa wanaobetisha local localJamani PREMIER BET Mungu anawaona mnachonifanyia,yaani tangu nitoe hela Ijumaa saa 16:55 mpaka leo kavu,leo nimetoa tena nyingine saa 11:10 nayo bado tu,hakika najuta kuwafahamu maana hapa ratiba zangu zote zimesimama kwa ajili yenu.Mwenye namba zao wakuu ebu nisaidieni plz.