Buddy
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 7,098
- 8,846
Hehehe...nimeingia tamaa na zile odds za Mahindra mkuu leo huenda ikawa muujiza kwangu.
Hahahaha ... tuombe ije upande wetu leo aiseee.
Hehehe...nimeingia tamaa na zile odds za Mahindra mkuu leo huenda ikawa muujiza kwangu.
Sasa hako ka elfu kumi kangu walikokachukua watakarudisha au????
Waandikie email watarudisha tuSasa hako ka elfu kumi kangu walikokachukua watakarudisha au????
Mkuu naomba msaada juu ya kulipia hela katika mkeka bet na ni line gani mkuu?View attachment 391775
Australia nawalaani
Meridian mkuuWakuu naombeni maelekezo jinsi ya kukatiza mkeka kma nmeshashinda zaid ya tmu 3.piah iyo kampuni gni
Inaitwaje piah maelekezo kidgoMeridian mkuu
Inaitwa turbo mkuu?Inaitwaje piah maelekezo kidgo
Hali si hali mkuu..Hahahaha ... tuombe ije upande wetu leo aiseee.
Hehe...nlivyoona Q ya kwanza tu nikajua tiari, wenzao niliwapa under 202 ikatiki hii W na over zimegoma.Hali ni tete
Hehe...nlivyoona Q ya kwanza tu nikajua tiari, wenzao niliwapa under 202 ikatiki hii W na over zimegoma.
Leo hawa wafilipino wameshindwa kutoa over 200Ni shiiidah hakyanani ... kila tawi ukishika linavunjika ... vikapu 11 vilihitajika tuvute hela.
View attachment 392380
Ngoja nitafute Odds 3 za baadae nione km nitafuta machungu.
kaka leta odd tatuNi shiiidah hakyanani ... kila tawi ukishika linavunjika ... vikapu 11 vilihitajika tuvute hela.
View attachment 392380
Ngoja nitafute Odds 3 za baadae nione km nitafuta machungu.