mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 729
- 952
Nafarijika sana kuona na warembo nao mnajilipua kama hvii4C27A7
Hizo hapo odds 2.15 za sportybet
Nafarijika sana kuona na warembo nao mnajilipua kama hvii4C27A7
Hizo hapo odds 2.15 za sportybet
Mtaani kwako hakuna watumishi wa halotel!?? Hauna namba za halotel kwenye simu yako ukawashtua masela wako wa karibu ukawapa hio ofa!??Nahitaji mtumiaji wa halotel nimpe ofa Gb 5 kwa buku 5 tano chap nichek tuendelee kutupia mikeka....
Afu kwel kama sio utapeli huo nn sasaMtaani kwako hakuna watumishi wa halotel!?? Hauna namba za halotel kwenye simu yako ukawashtua masela wako wa karibu ukawapa hio ofa!??
kwa muda gani kaka?Nahitaji mtumiaji wa halotel nimpe ofa Gb 5 kwa buku 5 tano chap nichek tuendelee kutupia mikeka....
kwa muda gani kaka?
Unatoa kwa bei gani hizo?Mpaka tarehe 1 Juni japo zimebaki Gb 2 karibu
Chukua hiyo hela.Wakuu ninataka nijilipue 400k kwa gem mbili direct winn PSG na REal kesho nipeni ushauri maana muhindi kanipiga hii miezi miwili nina loss ya 3m aisee
Psg achana nae.Wakuu ninataka nijilipue 400k kwa gem mbili direct winn PSG na REal kesho nipeni ushauri maana muhindi kanipiga hii miezi miwili nina loss ya 3m aisee
We jamaa yaonesha ujitambui, na usipokuwa makini usije ukatapeliwa . Mtu mzima usikiliza na kuuliza kwanini ili apewe sababu. Sasa nakwambia Chukua iyo stake zidisha na odds afu toa na iyo TAX uone kama inakuja iyo hela taslimu.Wewe ndio ufungue macho!! Sio kila mtu hana pesa kama wewe
Mkuu Muhindi akikupiga ukipanik tuu anakumaliza mazimaaaaWakuu ninataka nijilipue 400k kwa gem mbili direct winn PSG na REal kesho nipeni ushauri maana muhindi kanipiga hii miezi miwili nina loss ya 3m aisee
Bila shaka alifata ushauri tuliompa.