Daaaah!!! Yaani nilikuwa nimeshapiga hesabu za kesho kula supu ya kuku wa kienyeji na chapati mbili nikishushia na pepsi baridiii daaah!! Kamari ni konyoMatokeo ya Lille na Lyon umeyaona? Kuna watu watu wameenda kulala na mikeka wakidhani mechi imeisha wakiamka kesho hawataamini. Kamari ni ngumu sana aisee.
Hio ni ya kuwait sio ya SaudiaView attachment 2983087mbona hiyi nasri wameipa odd nying sana
Ya Saudia inakua na Double SView attachment 2983087mbona hiyi nasri wameipa odd nying sana
Ya Kuwait hiyo BabaView attachment 2983087mbona hiyi nasri wameipa odd nying sana
Mbona hizo option ziko mbali mbali sana, ulikoseaje!Jana nikawabetia Man u washinde lakini kwa bahati mbaya nikakosea nikaweka man u hawezi funga goli mbili mfululizo... aisee ikatoa
Nilitaka kumpa mazima dahJ
Ya Kuwait hiyo Baba
Hizo zipo 4 Duniani,Jina Moja
Nipo hapa Fanya jamboNahitaji mtumiaji wa halotel nimpe ofa Gb 5 kwa buku 5 tano chap nichek tuendelee kutupia mikeka....
Nafarijika sana kuona na warembo nao mnajilipua kama hvii4C27A7
Hizo hapo odds 2.15 za sportybet
Mtaani kwako hakuna watumishi wa halotel!?? Hauna namba za halotel kwenye simu yako ukawashtua masela wako wa karibu ukawapa hio ofa!??Nahitaji mtumiaji wa halotel nimpe ofa Gb 5 kwa buku 5 tano chap nichek tuendelee kutupia mikeka....