Wadau kuna baadhi ya maneno huwa yanazungumzwa sana mitaani; mara huwezi kutusua maisha kwa kubashiri, aloo mi nikisikia story kama hizo huwa naona kama wananichekesha na kuwaelewa ni ngumu, naona ni sawa wanampigia mbuzi gitaaa.

Nirudi kwenye point sasa, watu wengi wanabashiri kwa kukurupuka bila kufuatilia mambo ya msingi halafu mambo mepesi kabisa, wewe kama leo umefanikiwa kusoma huu uzi bhasi juaa Umasikini kwako mwisho, kama upo nyumba ya kupanga bhasi nikwambie tuu muda mchache toka sasa unaanza kupeleka matofari site yako

Kitu watu hawajui ni kuwa Kubet ni starehe ambayo inakupa pesa pia, chukua chai yako ya moto hapo pooza koo alafu endelea kufwatilia uzi huu,Tatizo la watu wengi wanajua kubashiri ni katika mchezo wa mpira wa miguu pekee, hapo sasa ndio shida ilipo ila amini kuna #michezo ya kubashiri ukiachana na mpira wa miguu ambayo kupiga pesa ni kugusa tuu, nasemaje kupiga pesa ni kugusa tuu, ishi na watu vizuri tuu

Twende sawa, kuna michezo inaitwa michezo ya #vikaragosi ila kwa lugha ya wenzetu wanaita Virtual Game, sasa utamu wa michezo hii mechi ya dakika 90 unao uwezo ukabishiri kwa dakika 2 na ukapata matokeo yako mapema, kwahiyo ndani ya dakika 90 unao uwezo wa kucheza michezo 45, sasa fikiria katika michezo 45 kweli unakosaje yotee, haya sawa tuna assume haupendi #mpira kuna michezo ya mashindano ya farasi ambayo pia ndani ya dakika 2 tuu pia unapata matokeo yako, hatujaishia hapo kuna mashindano ya magari na michezo mingine kibao na unabashiri kwa 200 tuu, pesa ya kipande cha tikiti tuu

Haya achana na michezo ya vikaragosi bado kuna michezo ya #casino na #slots, iyo slots isikuchangachanye, hiyo ndio michezo ya #madubwi sasa tofauti yake ni kuwa wewe unacheza mtandaoni, na yenyewe ni rahisi sana kushinda sababu wewe kazi yako ni kubonyeza na kuweka dau na kuvuna tuu, kinacho hitajika tuu ni kufungua moyo, amini kadri unavyo cheza maranyingi ndio kadri unajitengenezea bahati

Mimi leo nimekupa hizo mbinu za kujaribu kubashiri michezo mingine pia ili uweze kuenjoi kubet, uache kukaa vijiweni kulalamika lalamika ooh kubet hivi mara vile, ila sasa sikia la mwisho hiyo michezo sio kila kampuni ya kubashiri inayo kwahiyo mi leo nakupa mbinu ya kivita mapema kuna jamaa wanaitwa sokabet, mwanzo nilikuwa nawachukulia poa sababu nilikuwa nawaangalia juu juu ila sasa itoshe kusema kampuni pekee ambayo na uhakika nayo ina michezo mingi iyo ya casino na vikaragosi basi ni hao wajomba sokabet, Niwape maua yao mapema tuu

Uzi unao kuja weka notification wazi sababu ukisoma huo uzi amini kama upo nyumba ya kupanga bhasi mapema utaanza peleka tofari site kwako, namaanisha pesa kwako litakuwa swala la kugusa tuu, Nilikuwepo Wa
Kampeni
 
Duh... Mjini kugumu aisee,

Muwe makini na 888 stars bet...! NI MATAPELI!!!

nilikuwa Nna-access 888strars vizuri tu kabla sija deposit.. cha ajabu nimeweka hela tu kwa selcom, Ile kuthibitishwa tu hela imepokelewa... Website yao haifunguki tena! Tangu asubuhi!

It means ni wizi wanafanya!!!

Baada tu ya Ip address kudeposit hela .. hiyo ip address inakuwa locked kuaccess website yao!..

Nimechoka kabisa

Muwe makini na haya makampuni mapya.. wamesepa na Buku 9 yangu niliyokuwa nibetie 🏀 huko mechi za kesho tu!

Nawaandalia na kuwasndikia Uzi kabisa humu Jf kuhusu utapeli wa 888stars bet!!! Kukomesha hili!
 
Duh... Mjini kugumu aisee,

Muwe makini na 888 stars bet...! NI MATAPELI!!!

nilikuwa Nna-access 888strars vizuri tu kabla sija deposit.. cha ajabu nimeweka hela tu kwa selcom, Ile kuthibitishwa tu hela imepokelewa... Website yao haifunguki tena! Tangu asubuhi!

It means ni wizi wanafanya!!!

Baada tu ya Ip address kudeposit hela .. hiyo ip address inakuwa locked kuaccess website yao!..

Nimechoka kabisa

Muwe makini na haya makampuni mapya.. wamesepa na Buku 9 yangu niliyokuwa nibetie 🏀 huko mechi za kesho tu!
Unapopigwa... Na kujihakikishia ya kuwa ni kweli umepigwa... Usikae kimya...

Toa taarifa kama hii ili kukomesha upigaji(utapeli) ili wengine wasiendelee kupigwa!

Mimi nikipigwa natangaza platforms zoote za mtandao uzijuazo!
 
Duh... Mjini kugumu aisee,

Muwe makini na 888 stars bet...! NI MATAPELI!!!

nilikuwa Nna-access 888strars vizuri tu kabla sija deposit.. cha ajabu nimeweka hela tu kwa selcom, Ile kuthibitishwa tu hela imepokelewa... Website yao haifunguki tena! Tangu asubuhi!

It means ni wizi wanafanya!!!

Baada tu ya Ip address kudeposit hela .. hiyo ip address inakuwa locked kuaccess website yao!..

Nimechoka kabisa

Muwe makini na haya makampuni mapya.. wamesepa na Buku 9 yangu niliyokuwa nibetie huko mechi za kesho tu!

Nawaandalia na kuwasndikia Uzi kabisa humu Jf kuhusu utapeli wa 888stars bet!!! Kukomesha hili!
Mkuu mbona mm naingia vzr Tu au shida hio IPO kwako Jana usiku saa 10 nimetoa Pesa au unatumia VPN?
 
Duh... Mjini kugumu aisee,

Muwe makini na 888 stars bet...! NI MATAPELI!!!

nilikuwa Nna-access 888strars vizuri tu kabla sija deposit.. cha ajabu nimeweka hela tu kwa selcom, Ile kuthibitishwa tu hela imepokelewa... Website yao haifunguki tena! Tangu asubuhi!

It means ni wizi wanafanya!!!

Baada tu ya Ip address kudeposit hela .. hiyo ip address inakuwa locked kuaccess website yao!..

Nimechoka kabisa

Muwe makini na haya makampuni mapya.. wamesepa na Buku 9 yangu niliyokuwa nibetie huko mechi za kesho tu!

Nawaandalia na kuwasndikia Uzi kabisa humu Jf kuhusu utapeli wa 888stars bet!!! Kukomesha hili!
Mkuu hata kwangu pia ila nadhani server zinatatizo tuwape mda
 
Hapana kamanda... Situmii Vpn kwa sasa .. Vpn huwa natumia Ile mida yetu tu... Mikeka ikishararuka!
1xbet wanafanya maborsho kwenye app sasa wanasema Hadi hi itakuwa inafanya maborsho mana kuna mwamba ananiambia inaleta hivi ingawaje mm Kwangu unafungua...natumia WI-FI
Screenshot_20231204_122532_888starz.jpg
 
Duh... Mjini kugumu aisee,

Muwe makini na 888 stars bet...! NI MATAPELI!!!

nilikuwa Nna-access 888strars vizuri tu kabla sija deposit.. cha ajabu nimeweka hela tu kwa selcom, Ile kuthibitishwa tu hela imepokelewa... Website yao haifunguki tena! Tangu asubuhi!

It means ni wizi wanafanya!!!

Baada tu ya Ip address kudeposit hela .. hiyo ip address inakuwa locked kuaccess website yao!..

Nimechoka kabisa

Muwe makini na haya makampuni mapya.. wamesepa na Buku 9 yangu niliyokuwa nibetie 🏀 huko mechi za kesho tu!

Nawaandalia na kuwasndikia Uzi kabisa humu Jf kuhusu utapeli wa 888stars bet!!! Kukomesha hili!
:D :D :D :D :D :D :D :D :D :D :D :D :Dila bongoo watu tuna wengee sanaa... kampuni za jamii ya 1xbet zote leo ni chengaa zinazingua sana so tuwe wapole tu
 
Dakika ya 60 naingia live pale nakuta mechi ya Ligi ya Australia ipo 2-3 halaf naangalia under 6.5 goal ina odd 1.90 si nikaitaman nikajua hapa kanji lazima apasuke hapa..😂 si nikaweka mpunga.. kilichonikutaaaa kweli nimeamini kanji huwa anayajua matokeo si bure mshenzi huyu! Mechi imetoka 4-3 🙌 wanangu bet unachoweza kupoteza leo ningejichanganya nitie mzigo mrefu hapa ningelia na kusaga makende
Screenshot_20231204-130204~2.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom