kigole
Member
- Jul 2, 2019
- 36
- 17
Kila la KheriMimi ndiyo safari hiyo imeanzaView attachment 2036594View attachment 2036596
Sent from my TECNO WX4 using JamiiForums mobile app
Sikumpa final score nilimpa double chance ashinde au draw
View attachment 2036616
Tunamsubiri leo , Liverpool fanya kweli
UmeshindaaaaaaaaRaha sio raha jamani boom
Umeshindaaaaaaaa
Tren naona haina honiiMapema tuu mkuu
Mi nasubiri Porto na Atletico wafungane, hawa Dortmund najua watapata goli 2 zaidi maana Besiktas washakula umeme mapema mno.Mapema tuu mkuu
Man city vipi matokeoMi nasubiri Porto na Atletico wafungane, hawa Dortmund najua watapata goli 2 zaidi maana Besiktas washakula umeme mapema mno.
Amekufa mzeeMan city vipi matokeo
Man city vipi matokeo
Hawa washenzi Sana wamesha fuzu wakaamua kulegeza watuchanie mikekaAmekufa mzee
Mi nasubiri Porto na Atletico wafungane, hawa Dortmund najua watapata goli 2 zaidi maana Besiktas washakula umeme mapema mno.
Ogopa sana hizo timu zilizofuzu, nawaambia watu kesho BAYERN waachane nae au wampe DC Barca, kwa ninavyoangalia Bayern matokeo yake mazuri kesho ni Sare tena ataitafuta kwa tochi na mababu wale.Hawa washenzi Sana wamesha fuzu wakaamua kulegeza watuchanie mikeka