Salum Mazwazwa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2015
- 1,256
- 1,369
Ebanaaaeeeee aseee yani unaweza kulala maskini ukaamka tajiriView attachment 1779255
Kuna mdau kamkalisha Mhindi huko.Noma sana
Ebanaaaeeeee aseee yani unaweza kulala maskini ukaamka tajiriView attachment 1779255
Kuna mdau kamkalisha Mhindi huko.Noma sana
Babu juzi nmepigwa sina hamu na izo FIXED tenaMzeee wa Fixed haaahaa
Nilikuwaga nawashangaa sana jamaa waliokuwa wanalalamika juu ya kodi. Ila Sasa nimewaelewa na nafanya Mpango nihamie 1xbet.Haiwezekani,kuliwa niliwe, nihangaike kutafuta odd 2 Kisha niweke 100k afu nipewe 170k,... 30K ni ndefu sana aiseeh.Naomba ufafanuzi hapa, maana nina mpango wa kuamia huko 1xbet kukimbia kodi ya 22bet?
Ebanaaaeeeee aseee yani unaweza kulala maskini ukaamka tajiri
Hahaha daah kwanini sasa?Mkuu zinatoa sana karibu kila sikuHuwezi amini mimi huwa hata siziweki
Mtaji wa 500 mzee odds ndogo sana izo hapo wenye elfu 30 ivi ndiyo wanufaikaHahaha daah kwanini sasa?Mkuu zinatoa sana karibu kila siku
Hahaha pole sana Mkuu ndio utafutaji lakini kiongoziBabu juzi nmepigwa sina hamu na izo FIXED tena
Nilikuwaga nawashangaa sana jamaa waliokuwa wanalalamika juu ya kodi. Ila Sasa nimewaelewa na nafanya Mpango nihamie 1xbet.Haiwezekani,kuliwa niliwe, nihangaike kutafuta odd 2 Kisha niweke 100k afu nipewe 170k,... 30K ni ndefu sana aiseeh.
Kweli kabisa,hapo atleast ukianza na 50K faida unaweza kupata ila mia tano ni kupoteza muda tu.Mtaji wa 500 mzee odds ndogo sana izo hapo wenye elfu 30 ivi ndiyo wanufaika
Nazitupiaga tu humu wadau wapate chochoteKweli kabisa,hapo atleast ukianza na 50K faida unaweza kupata ila mia tano ni kupoteza muda tu.
Mkuu hongera
NMB WAMETOA PREPAID CARD NASIKIA INARUHUSU INTERNATIONALLY ONLINE TRANSACTIONS.