Kama ni kweli Serikali imetumia usalama kugushi makaratasi ya uchaguzi, kupanga matokeo ya uchaguzi Tanzania nzima na kufilisi wapinzani wafanyabiashara na hata kuwajeruhi au kushiriki kwa namna yeyote kwenye mauaji ya wapinzani ni tishio kubwa sio tu kwasasa lakini kwa miaka mingi sana ijayo.
Tatizo kubwa kuna watu wanafikiri hili ni jambo la mpito tu lakini ukweli ni kwamba usalama wa taifa umejipa kazi isiyo ya kwao. Hiki kitengo hakitakuwa cha awamu moja maana ukisha onjesha madaraka makubwa hivi kwa idara moja haina tofauti sana na nchi kutawaliwa kijeshi.
Je hii ina maana gani? Hii ina maana kwamba usalama unakuwa na nguvu kuliko wananchi hivyo hakutakuwa na sababu ya wagombea wa nafasi tofauti kuwafuata wananchi badala yake wanaweza kuwafuata viongozi wa chama na usalama pekee kwani ndiyo wachaguaji wa ukweli sio wananchi. Lakini la pili kwenye hili ni kwamba usalama utakuwa na nguvu ya kutishia bunge zima hadi mawaziri.
Kwa wale washabiki hasa wenye elimu inaelekea wanashabikia kitu ambacho hawajui au wamejidanganya kwasababu tu wanampenda Magufuli na mambo anayofanya. Hili sio sawa maana bila mfumo mzuri wa kidemokrasia tunaweza kuwa na Raisi mbaya na hatutaweza kumtoa kwa namna yeyote. Lakini vilevile unaweza ukawa na viongozi wabaya usalama wenye malengo binafsi na wakamtisha mpaka raisi wa nchi maana serikali imewapa vitu na uwezo ambao hawatakiwi kuwa nao. Hatuwezi kukaa na kusali tu nkwamba kila siku tutapata watu bora kwenye hizi idara au hata Uraisi hivyo mnaoshangilia sana mjue mabadiliko haya makubwa inawezekana kabisa akapewa kiongozi ambaye si mzalendo na nchi yetu inaweza kurudi nyuma kwa miaka mingi bila na kuwa na sheria yeyote ya kumtoa.
Umri wa kati wa Watanzania ni miaka 17-18 tu hivyo Tanzania ina watoto wengi ambao hawawezi kugoma, kuandamana wala kuelewa mambo mengi kwa upana na wale wachache wanaoelewa wamekuwa vipofu kwa manufaa binafsi au kwa mapenzi yao. Binadamu ni kama maua yenye harufu nzuri mwisho wake yanaharibika hata yawe mazuri vipi. Hii ndiyo sababu pekee pamoja na mapenzi yangu binafsi kwa Magufuli jinsi alivyobadilisha siasa hasa kwa upinzani na CCM ilivyoshinda kwa kutumia usalama imeweka pengo kubwa ambalo itakuwa ngumu kuziba.
Quote Reply
Select for moderation Report Edit
Remove formattingBoldItalicFont sizeText colorMore options…
ListAlignment
Insert linkInsert imageSmiliesMediaQuoteInsert tableMore options…
UndoRedoToggle BB codeDrafts
Preview
Font familyStrike-throughUnderlineInline codeInline spoiler
Insert horizontal lineInsert videoSpoilerCodeSubscriptSuperscript
Write your reply...
Post reply
Attach files Insert quotes…
Similar Discussions
FacebookTwitterRedditWhatsAppEmailLink
KEdit
Messages3,799Reaction score3,605Trophy points2,000
You are always welcome!
Read more...
For anything related to this site please Contact us.
Contact us now...
Read more...
You MUST read them and comply accordingly.
Read more...
Read our Privacy Policy.
Proceed here...
Tatizo kubwa kuna watu wanafikiri hili ni jambo la mpito tu lakini ukweli ni kwamba usalama wa taifa umejipa kazi isiyo ya kwao. Hiki kitengo hakitakuwa cha awamu moja maana ukisha onjesha madaraka makubwa hivi kwa idara moja haina tofauti sana na nchi kutawaliwa kijeshi.
Je hii ina maana gani? Hii ina maana kwamba usalama unakuwa na nguvu kuliko wananchi hivyo hakutakuwa na sababu ya wagombea wa nafasi tofauti kuwafuata wananchi badala yake wanaweza kuwafuata viongozi wa chama na usalama pekee kwani ndiyo wachaguaji wa ukweli sio wananchi. Lakini la pili kwenye hili ni kwamba usalama utakuwa na nguvu ya kutishia bunge zima hadi mawaziri.
Kwa wale washabiki hasa wenye elimu inaelekea wanashabikia kitu ambacho hawajui au wamejidanganya kwasababu tu wanampenda Magufuli na mambo anayofanya. Hili sio sawa maana bila mfumo mzuri wa kidemokrasia tunaweza kuwa na Raisi mbaya na hatutaweza kumtoa kwa namna yeyote. Lakini vilevile unaweza ukawa na viongozi wabaya usalama wenye malengo binafsi na wakamtisha mpaka raisi wa nchi maana serikali imewapa vitu na uwezo ambao hawatakiwi kuwa nao. Hatuwezi kukaa na kusali tu nkwamba kila siku tutapata watu bora kwenye hizi idara au hata Uraisi hivyo mnaoshangilia sana mjue mabadiliko haya makubwa inawezekana kabisa akapewa kiongozi ambaye si mzalendo na nchi yetu inaweza kurudi nyuma kwa miaka mingi bila na kuwa na sheria yeyote ya kumtoa.
Umri wa kati wa Watanzania ni miaka 17-18 tu hivyo Tanzania ina watoto wengi ambao hawawezi kugoma, kuandamana wala kuelewa mambo mengi kwa upana na wale wachache wanaoelewa wamekuwa vipofu kwa manufaa binafsi au kwa mapenzi yao. Binadamu ni kama maua yenye harufu nzuri mwisho wake yanaharibika hata yawe mazuri vipi. Hii ndiyo sababu pekee pamoja na mapenzi yangu binafsi kwa Magufuli jinsi alivyobadilisha siasa hasa kwa upinzani na CCM ilivyoshinda kwa kutumia usalama imeweka pengo kubwa ambalo itakuwa ngumu kuziba.
Quote Reply
Select for moderation Report Edit
Remove formattingBoldItalicFont sizeText colorMore options…
ListAlignment
- Align left
- Align center
- Align right
- Justify text
Insert linkInsert imageSmiliesMediaQuoteInsert tableMore options…
UndoRedoToggle BB codeDrafts
Preview
Font familyStrike-throughUnderlineInline codeInline spoiler
Insert horizontal lineInsert videoSpoilerCodeSubscriptSuperscript
Write your reply...
Post reply
Attach files Insert quotes…
Similar Discussions
Who Read This Thread (Total Members: 4)
Share:FacebookTwitterRedditWhatsAppEmailLink
KEdit
Kamundu
JF-Expert MemberMessages3,799Reaction score3,605Trophy points2,000
WHO WE ARE
JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.You are always welcome!
Read more...
WHERE ARE WE?
We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.For anything related to this site please Contact us.
Contact us now...
DISCLAIMER
JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..Read more...
FORUM RULES
JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.You MUST read them and comply accordingly.
Read more...
PRIVACY POLICY
We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.Read our Privacy Policy.
Proceed here...
Connect with us
Facebook Twitter Instagram Telegram Contact us RSS- Change Mode
- Change Mode
- Change width
- JamiiForums would like your permission to enable push notifications.