Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 587
- 783
Hiyo Zaburi 35 ina ujumbe gani mkuuNaishauri serikali isome zaburi ya 35
Hiyo Zaburi 35 ina ujumbe gani mkuuNaishauri serikali isome zaburi ya 35
Thread Closed.Naishauri serikali isome zaburi ya 35
We unadhani Zaburi ya 35 haina msaada kwa Watanzania?Mkuu wacha mbwembwe, huu uzi unaweza kuwa wa msaada mkubwa kwa Watanzania.
Kasome utaiona. Kama huna hard copy ya Bible Google utaipata Zaburi 35hiyo Zaburi 35 ina ujumbe gani mkuu
Ladies and gents Sisi kama watanzania tunakila sababu ya kuipenda nchi yetu,kuonesha uzalendo
Tuna haki ya kujivunia Tanzania yetu...
Kwahiyo nini kifanyike ili kura zisiibiwe mkuu?Hatushauri wezi wa Kura. Usichanganye nchi na serikali.
Kwahiyo nini kifanyike ili kura zisiibiwe mkuu?
Hatutapoteza muda kushauri maweMkuu wacha mbwembwe, huu uzi unaweza kuwa wa msaada mkubwa kwa Watanzania.
Empty setHatutapoteza muda kushauri mawe
Huko Hai ni mbali. Hapa hapa Dar, mtaa walindi na Livingstone(gerezani), kampuni ya usafirishaji ya Gidion inaleta magari makubwa ya tani 20 kuja kupakia mizigo katika ardhi aliyokodisha ambayo hati yake sio commercial. Hiyo barabara ya Lindi imetengenezwa lami sio zaidi ya miaka miwili iliyopita. Max limit za gari kupita katika barabara hiyo ni 10 tons. Lakini unashangaa huyo Gidion anafanya kazi na magari yake yenye capacity ya 20 tons. Amebomoa barabara yote ya lami. Wananchi tumelalamikia serikali za mitaa, halmashauri na hadi Tarura tumeenda lakini hakuna hatua yoyote inayochukuliwa dhidi ya Gidion. Inaonekana yuko juu ya Sheria.Watu wengi wanasifia kuwa Magufuli ameleta nidhamu kwenye civil service; inaweza kuwa sahihi huko Dar pengine na Dodoma waliko viongozi wakuu!! Huku mikoani mambo ni kama zamani, mimi nitatoa mfano wa ofisi ya ardhi wilaya ya Hai. Kiongozi wa ofisi ya ardhi hapo wilaya ya Hai anajulikana kwa jina la Jacob.
Huyu bwana ni mtata sana kwani anawasumbua sana wananchi kupata hati miliki za ardhi yao,yote hiyo ikiwa ni njia ya kutaka kupata hongo kutoka kwa wahusika.
Malalamiko juu ya afisa huyu yamefika mpaka kwa viongozi wake wa wilaya na mkoa lakini hatua stahiki dhidi yake hazijachukuliwa.
Sasa ni wakati sahihi kwa afisa huyu kuchunguzwa na ofisi ya Rais kwani wasaidizi wake wamemshindwa!! Afisa huyu ni mmoja anayechafua utendaji kazi wa Rais.