Status
Not open for further replies.
Naishauri serikali isijione Mungu mtu IPO siku ambayo itaongozwa na mwingine waache kujimwambafai alafu wapunguze kujitapa kwa wananchi kua wao wanaendesha magari mav8 alafu waheshimu utanzania wa kila Mtanzania waheshimu katiba, kanuni na sheria za nchi waache viburi vya vyeo walivo navyo Leo wakumbuke hawatokua serikalini maisha yao yote yangu ni hayo tu nimesahau watoe ajira maswala ya kutulopokea maswala ya kujiajili waanze wao wakajiajili kwanza.
 
1. Naishauri serikali ya JMT ianche dhana ya kuona wazungu ni competitor,beberu,mpererezi,mkoloni wa leo wetu(wao wameshatupita mbali) kwa kudhani hivyo wanaenda against na msemo wa "Boss hanuniwi.

Watu weupe ndo hao wanakuja na mitaji hata kama kuna tu wizi wanafanya tungedeal nao kimya kimya ki intelligencia kuliko ku declare war live kwao(hii ni sawa kuingia vitani ukiwa na manati adui akiwa na Smg or Lmg).

2. Serikali imuandalie mh rais wa JMT washauri sahihi(wasio muogopa ama kutoleqa jalalani) katika nyanja za siasa,uchumi,utamuduni ili hizi sehemu tatu zikae sawa na nchi isonge la sivyo tunaenda kupita njia ya Mugabe(kiburi cha mtu mmoja kimeicost nchi nzima)

3. Serikali iache dhana ya kizamani kuamini upinzani ni ukosefu wa uzalendo na kama ingekuwa hizvyo muasisi wa multpatism (Jk Nyerere) asingelipa kipaumbele hili jambo.

4. Taifa kama taifa tuache mambo ya kutoa data za kufunika ukweli ni sawa na kufunika moto na blanket na kuwaaminisha watu humu ndani hapaungui papo baridi kumbe kuna latent heat of evaporation(sijui kama nipo sahihi) Moshi utasema ukweli kwa igizo hili

5. Sisi kama taifa tusilazimishane uzalendo kwa sababu uzalendo unazaliwa moyoni automatically kwa kulizika na materials yanayokuwa delivered na serikali yako.So serikali ijitahidi kuhamasisha na kufufua mioyo ya wananchi kuwa tunaelekea kwenye asali njaa zenu zitatibiwa tukifika na sisi kama wananchi tuone ni kweli mbele kuna matumaini.Tukilazimishana na sawa na kuozeshana mume au mke anaenuka mdomo ama kukojoa kitandani.

KARIBUNI NA WENGINE TUSI IZARAU JF WANAPITIA WATU WENGI SANA IKIWEMO WAKUU WETU.
MUNGU IBARIKI AFRIKA NA MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
There is a lot of potential in Agriculture and Education. These two sectors needs revamp to improve Tanzanians' livelihoods.
 
Shauri ashaurikae mwenye shauku ya kujua asojua asiyeshauka na kujishaua kishua akikosolewa hana kifua anakufua au kukua kijuha asopiga dua.
 
Watu wengi wanasifia kuwa Magufuli ameleta nidhamu kwenye civil service; inaweza kuwa sahihi huko Dar pengine na Dodoma waliko viongozi wakuu!! Huku mikoani mambo ni kama zamani, mimi nitatoa mfano wa ofisi ya ardhi wilaya ya Hai. Kiongozi wa ofisi ya ardhi hapo wilaya ya Hai anajulikana kwa jina la Jacob.

Huyu bwana ni mtata sana kwani anawasumbua sana wananchi kupata hati miliki za ardhi yao,yote hiyo ikiwa ni njia ya kutaka kupata hongo kutoka kwa wahusika.
Malalamiko juu ya afisa huyu yamefika mpaka kwa viongozi wake wa wilaya na mkoa lakini hatua stahiki dhidi yake hazijachukuliwa.
Sasa ni wakati sahihi kwa afisa huyu kuchunguzwa na ofisi ya Rais kwani wasaidizi wake wamemshindwa!! Afisa huyu ni mmoja anayechafua utendaji kazi wa Rais.
 
Watu wengi wanasifia kuwa Magufuli ameleta nidhamu kwenye civil service; inaweza kuwa sahihi huko Dar pengine na Dodoma waliko viongozi wakuu!! Huku mikoani mambo ni kama zamani, mimi nitatoa mfano wa ofisi ya ardhi wilaya ya Hai. Kiongozi wa ofisi ya ardhi hapo wilaya ya Hai anajulikana kwa jina la Jacob.

Huyu bwana ni mtata sana kwani anawasumbua sana wananchi kupata hati miliki za ardhi yao,yote hiyo ikiwa ni njia ya kutaka kupata hongo kutoka kwa wahusika.
Malalamiko juu ya afisa huyu yamefika mpaka kwa viongozi wake wa wilaya na mkoa lakini hatua stahiki dhidi yake hazijachukuliwa.
Sasa ni wakati sahihi kwa afisa huyu kuchunguzwa na ofisi ya Rais kwani wasaidizi wake wamemshindwa!! Afisa huyu ni mmoja anayechafua utendaji kazi wa Rais.
Huko Hai ni mbali. Hapa hapa Dar, mtaa walindi na Livingstone(gerezani), kampuni ya usafirishaji ya Gidion inaleta magari makubwa ya tani 20 kuja kupakia mizigo katika ardhi aliyokodisha ambayo hati yake sio commercial. Hiyo barabara ya Lindi imetengenezwa lami sio zaidi ya miaka miwili iliyopita. Max limit za gari kupita katika barabara hiyo ni 10 tons. Lakini unashangaa huyo Gidion anafanya kazi na magari yake yenye capacity ya 20 tons. Amebomoa barabara yote ya lami. Wananchi tumelalamikia serikali za mitaa, halmashauri na hadi Tarura tumeenda lakini hakuna hatua yoyote inayochukuliwa dhidi ya Gidion. Inaonekana yuko juu ya Sheria.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom