Mnapoteza muda wenu bure yaani huyo Hana uwezo was kufanya chochote Cha maana zaidi ya kupiga teni pasenti kwenye miradi feki inayoitwa miradi mikubwa .Uchaguzi umeisha serikali imeanza kuundwa na hivi karibuni Baraza litaundwa. Kwa maoni yako ni mambo gani ungeshauri serikali ya Dr Magufuli ifanye kiuchumi, kisiasa na kijamii?
Uchaguzi umeisha serikali imeanza kuundwa na hivi karibuni Baraza litaundwa. Kwa maoni yako ni mambo gani ungeshauri serikali ya Dr Magufuli ifanye kiuchumi, kisiasa na kijamii?
Je, unaweza kueleza kitu gani ungependa kibadilike iwenye katiba hii tulio nayo?Katiba mpya ya tume ya warioba ni muhimu kuliko mambo yote kwa kizazi chetu cha vijana maana tunataka maisha tofauti na katiba ya 1964 na 1977
Yaani angekuwa na akili hii angefanikiwa sana! Lakini sasa hivi bure kabisa!Apitie ilani za vyama vingine na yaliyoainishwa mazuri ayachukuwe na kuyatekeleza,
Kwenye Serikali yake aendelee kushirikisha baadhi ya viongozi wa upinzani ili kuongeza maridhiano,
Mahusiano ya kimataifa yaangaliwe upya
Aa wapi!Je anapokea ushauri ?
Ndugu yangu unaisha Ulaya?aliyosema atafanya 2015-2020 yamemshinda atayaweza ya 2020-2025?
Wenye akili timamu tunajua hujaibiwa kura,kinachokuuma ni kukosa ubunge na pesa za ruzuku,pamoja na michango ya wabunge. Wewe ni mnafiki tu mchumia tumbo,huna lolote.Kwani walishauriwa na nani kuiba kura na kumwaga damu? Nendeni kwenye mabaraza ya ccm mkachukue ushauri. Mngekuwa mmeingia kwa ridhaa ya wananchi walio wengi, hapo mngekuwa na uhalali wa kuomba maoni.
Asikilize kwa umakini mkubwa clip ya JK akieleza kuhusu "wazo halipigwi rungu".Asikilize kwa makini hotuba ya Warioba wakati anazungumza na watu wa haki binadamu.Ni vitu gani vinamuangusha Magufuli katika uongozi wake ambavyo kama akiviweka sawa basi anaweza kuwa the best president in East and Central Africa??? Naona kuna malalamiko kadha wa kadha kutoka kwa wananchi wengine wanakubaliana na movement zake wengine wanaona kama anafanya vitu ambavyo si sawa.
kwa maoni yako Endapo ungepewa nafasi ya kumshauri Rais Magufuli ni kitu gani ungependa akifanyie reformation?
wewe utakuwa ni mtumishi wa ummaApandishe watumishi madaraja na mishahara.
Asianzishe miradi mipya hadi hizi zilizoanza zikamilike na kufanyiwa tathmini.
Hali ya maisha ni mbaya sana,asidanganywe na maigizo wanayomfanyia..uhalisia hali ni tete.
Haswaaa!wewe utakuwa ni mtumishi wa umma
Huyu ni mtawala na siyo kiongoziAsikilize kwa umakini mkubwa clip ya JK akieleza kuhusu "wazo halipigwi rungu".Asikilize kwa makini hotuba ya Warioba wakati anazungumza na watu wa haki binadamu. Ingawa lina uchungu apitie kwa jenerali online.La mwisho apte briefing kuhusu kipi kilichotokea mpaka Waziri wa mambo ya ndani Ali Hassan mwinyi akajiuzulu.Otherwise anaonekana kuwa na nia njema ya kutupeleka mbele lakin sustainability ya mbinu zake ni short lived akitoka madarakani,hardly mwezi mmoja.