Ray bayb
Senior Member
- Sep 1, 2018
- 184
- 443
Ila tufanyeje mkuu bado wachangaKwa Nchi ambazo mimi nimeishi au kuzitembelea Tayari zina Industrial parks Ukifika tu siku 2 au 3 tayari una jengo na kila kitu kinachotakiwa kwa kuanzisha kiwanda pamoja na vibari vyote mpaka work permit na ma expert wako. Hapa TIC ,TRA Uhamiaji wizara ya aridhi,Tanesco,Dawasa, WANAONGEA KILA MTU NA LUGHA YAKE kama ilivyokuwa wakati wanajenga mnara wa BABELI!!! Unakuja kuwekeza unaambiwa ufidie Land ya wanakijiji !!!! akuna hii kitu kwa wenzetu!!!! hapa Tanzania ukishapata Workpermit inabidi uhamie uhamiaji ambako rushwa inaweza kukuchelewesha ata miezi sita!!!! Nilikuwa na wawekezaji wameamua wakawekeze South africa! Tanzania atuna wawekezaji tuna wasaniii ,wametoa Rushwa watapiga hela na kukwepa kodi na wataiba , sisi Tanzania tuna vibaka atuna investors!!! uliona wapi Wageni wanauza Sabuni Kitumbini?!!