Status
Not open for further replies.
Kwa Nchi ambazo mimi nimeishi au kuzitembelea Tayari zina Industrial parks Ukifika tu siku 2 au 3 tayari una jengo na kila kitu kinachotakiwa kwa kuanzisha kiwanda pamoja na vibari vyote mpaka work permit na ma expert wako. Hapa TIC ,TRA Uhamiaji wizara ya aridhi,Tanesco,Dawasa, WANAONGEA KILA MTU NA LUGHA YAKE kama ilivyokuwa wakati wanajenga mnara wa BABELI!!! Unakuja kuwekeza unaambiwa ufidie Land ya wanakijiji !!!! akuna hii kitu kwa wenzetu!!!! hapa Tanzania ukishapata Workpermit inabidi uhamie uhamiaji ambako rushwa inaweza kukuchelewesha ata miezi sita!!!! Nilikuwa na wawekezaji wameamua wakawekeze South africa! Tanzania atuna wawekezaji tuna wasaniii ,wametoa Rushwa watapiga hela na kukwepa kodi na wataiba , sisi Tanzania tuna vibaka atuna investors!!! uliona wapi Wageni wanauza Sabuni Kitumbini?!!
Ila tufanyeje mkuu bado wachanga
 
Mimi sina chama ujue
Na maendeleo hayana Chama ,tatizo ni pale mawazo yanaposukumwa kudhani mpaka niwe upande flani ndiyo maendeleo yaje,na hili viongozi wetu wanalinadi sana,kitu ambacho siyo kizuri katika mfumo wa vyama vingi.

Ila kwa Mazingira ya uwekezaji wa Viwanda hapa kwetu kwa sasa tumeyaharibu wenyewe.
 
Kwa Nchi ambazo mimi nimeishi au kuzitembelea Tayari zina Industrial parks Ukifika tu siku 2 au 3 tayari una jengo na kila kitu kinachotakiwa kwa kuanzisha kiwanda pamoja na vibari vyote mpaka work permit na ma expert wako. Hapa TIC ,TRA Uhamiaji wizara ya aridhi,Tanesco,Dawasa, WANAONGEA KILA MTU NA LUGHA YAKE kama ilivyokuwa wakati wanajenga mnara wa BABELI!!! Unakuja kuwekeza unaambiwa ufidie Land ya wanakijiji !!!! akuna hii kitu kwa wenzetu!!!! hapa Tanzania ukishapata Workpermit inabidi uhamie uhamiaji ambako rushwa inaweza kukuchelewesha ata miezi sita!!!! Nilikuwa na wawekezaji wameamua wakawekeze South africa! Tanzania atuna wawekezaji tuna wasaniii ,wametoa Rushwa watapiga hela na kukwepa kodi na wataiba , sisi Tanzania tuna vibaka atuna investors!!! uliona wapi Wageni wanauza Sabuni Kitumbini?!!
Hao wawekezaji walioenda South Africa walikuwa wanataka kuwekeza nini?
 
Ingefaa uwape Hao mabalozi pingu za kuwafunga na kamba kwa ajili ya kuwakokota Hao waweqekezaji, vinginevyo hivi hivi hawaji.
 
Ningekua mimi ni rais ningemwamuru kila mwakilishi wa tz (balozi) analeta wawekezaji wasiopungua 100 kuja kuwekeza kwa kujenga viwanda tz kila mwaka

Ningeweka hiyo kama qualification ya kuteuliwa kuwa balozi

Duniani kuna nchi 195 tuchukulie 80 duniani zina uchumi imara hapa nazungumzia uchumi mkubwa na wa kati

Viwanda 100 kila balozi avilete kwa nchi 80?

100×80=8000
Hapo ni viwanda 8000

Viwanda 8000 kila mwaka kwa miaka 5?
8000×5= 40000
Hapo jee hatutafikia uchumi wa kati? Hapo sijaweka viwanda vya wazawa, mapato ya kawaida ya tra, utalii nk

Jpm angefanya hivi toka kaingia 2015 leo tungekua mbali sana
Mawazo ya kujirahisisha kama mtu unaye jiuza.

Una nini cha kumvutia mtu awekeze kwako.
Badala ya kufikiria wewe mwenyewe kuwekeza unasubiri uwekezwe halafu ndo ufaidike!
Mijitu mingine bana!
 
Kwa kuwa Rais Magufuli amesikika akisema hakujua kuwa uongozi ni mzigo mzito hivi, na kwa kuwa amesikika akijuta kuuvaa mzigo huu wa kuchosha, na kwa kuwa kaomba tumuombee, namuombea Mungu ampumzishe na kupa mwangaza wa milele kwenye utawala wake ili aweze kuongoza kwa mafanikio Makubwa.

Ee Mungu muwezeshe mhe JPM kuwa na amani na furaha tele ili aweze kutimiza kazi hii nzito.

Mjalie hekima, busara na ushupavu mwingi, bariki kila alifanyalo.

Naam, mwanga wa milele umwangazie ee Bwana Mhe Rais wetu Mpendwa.

Tunakupenda Mhe Rais na hatutaacha kukuombea ili nchi hii iende mbele daima.
Amen.
 
Kwa kua mhe jpm amesikika akisema hakujua kuwa uongozi ni mzigo mzito hivi, na kwa kuwa amesikika akijuta kuuvaa mzigo huu wa kuchosha, na kwa kuwa kaomba tumuombee, namuombea Mungu ampumzishe na kupa mwangaza wa milele kwenye utawala wake ili aweze kuongoza kwa mafanikio Makubwa.

Ee Mungu muwezeshe mhe JPM kuwa na amani na furaha tele ili aweze kutimiza kazi hii nzito.
Mjalie hekima, busara na ushupavu mwingi, bariki kila alifanyalo.
Naam, mwanga wa milele umwangazie ee Bwana Mhe Rais wetu Mpendwa.
Tunakupenda Mhe Rais na hatutaacha kukuombea ili nchi hii iende mbele daima.
Amen.
Ombi lako limefeli huyo hataki ushauri alishasema yeye ni kiongozi wa malaika (cheo kizito) yeye ni jiwe yeye harogeki kwa hiyo hajaribiwi yeye ni chizi anaweza kupiga mashangazi wa wabaya wake yeye haijàli Tanzania anajali Mwanza kwani ni waliompa kula.nahene lolo safari hii tunakubwaga moaka utashangaa ni ikibidi hiyo CCM yako rutaipoteza kanda hii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom