Status
Not open for further replies.
Mbona vipaji vipo mfano Rc Dar mkulu kamng'ang'ania japo kafoji vyeti ila anakipaji Hadi anajiita mungu wa dar es salaam ndo maana mpaka Leo yupo mkulu anataka watu dizaini hiyo
 
Sijajua hao CEO talented unatumia vigezo gani kuwapata..na vipaji unazungumzia ni zile inayotokana na A's za madarasani au kuna kingine?

Yaani tusiporekebisha Katiba yetu ili kuweka mambo chini kama inchi tutazidi kuruka na kukanyagana kama unavyonikanyaga na mada yako hii.. hivi CEO yupi atakua na nguvu mbele ya Waziri kama jambo husika halimpendezi Waziri?

Je utafanya kazi chini ya mkuu wa mkoa anaesema katika ofisi yake anayo wafanyakazi 4 tu? kisa katiba imeshikiliwa na MTU mmoja. Katiba Katiba Katiba jamani tubadilike sana tunataka kua na nchi nzuri
 
Sijajua hao CEO talented unatumia vigezo gani kuwapata..na vipaji unazungumzia ni zile inayotokana na A's za madarasani au kuna kingine?

Yaani tusiporekebisha Katiba yetu ili kuweka mambo chini kama inchi tutazidi kuruka na kukanyagana kama unavyonikanyaga na mada yako hii.. hivi CEO yupi atakua na nguvu mbele ya Waziri kama jambo husika halimpendezi Waziri?

Je utafanya kazi chini ya mkuu wa mkoa anaesema katika ofisi yake anayo wafanyakazi 4 tu? kisa katiba imeshikiliwa na MTU mmoja. Katiba Katiba Katiba jamani tubadilike sana tunataka kua na nchi nzuri

Kipaji cha kuwa 'corporate leader' yaani kiongozi wa shirika. Yaani badala ya kuteua mtu TANESCO kwa sababu yeye ni mhandisi umeme au pengine amefanya kazi TANESCO muda mrefu au pengine ni Prof wa chuo kikuu, mkuu aangalie watu wenye vipaji.

Kuna watu wamesomea muziki, lakini sio wote wana vipaji vya muziki( iwe uimbaji au upigaji ala n.k).

Kwa dunia ya sasa huwezi kufanya mambo kwa usomi tu, au uchama fulani, na mengineyo, kuna suala la kipaji ni muhimu lizingatiwe. 'good attitute + talent' ukiongezea sasa na hayo mengine ndipo unapata mtu anayeleta mageuzi makubwa katika kampuni, mfano ni niliowataja kwenye mada.
 
Mkuu umeongea jambo la maana sana ,kwamba kuongoza sio lazima uwe profesa au una experience ya miaka 15 kazini apana, ni vizuri tukiwa tunatoa ushauri kama hivi kwa rais wetu.
 
Naomba niwambie jambo moja ambalo pengine miongoni mwenu wapo wanaofahamu na wengine labda hawajui. Mimi nafanya kazi kama Afisa tarafa huku kasulu,na kambi ya wakimbizi ya nyarugusu ipo ndani ya tarafa yangu.Kwa mazingira haya na nafasi hii napata kukutana na wazungu wengi wa mashirika yanayohudumia wakimbizi kwenye vikao mbalimbali. Jambo kubwa nililogundua ni kwamba wazungu ni wanafiki sana. Wanajifanya very sympathetic kwa waafrika( wakimbizi) kumbe sio kweli. Nasema tena sio kweli kwamba wanatupenda na wanatuonea huruma kwa shida zinazotukabiri hasa wakimbizi. Nao ni wapiga dili tu. Suala la vyombo vya habari vya wazungu kuisakama serikali ya JPM ni dhahiri kuwa wameona kwa trend hii kuna uwezekano tukasimama kwa miguu yetu,jambo ambalo hawataki kulisikia,ninyi nyote ni mashahidi. Kazi kubwa iliyobaki ni sisi wananchi kumuunga mkono rais wetu hasa kwa kuchapa kazi sana ili tuondokane na utumwa huu wa fikra na uchumi ambao kwao ni mtaji. Rais tumemchagua sisi na ni rais wetu na sio wa BBC wala nini. Wanannchi tuna nafasi kubwa ya kumfanya rais wetu afanye kazi kwa kujiamini ili siku moja tuondokane na minyororo hii ambayo kwa sasa tunafungwa vichwani badala ya miguuni. Rais wetu kazi na kasi yako kwangu imetukuka na najiona mwenye bahati kufanya kazi katika kipindi cha utawala wako kwani sikubahatisha kufanya kipindi cha mwalimu nyerere.
 
Kweli kabisa mfano Waingereza wenyewe wanarithishana uongozi afu wanaingilia demokrasia za nchi za Afrika. Hawa watu hawatupendi ila wanapenda mazingira yetu sababu yanawarahisishia kupiga dili zao kilaini.

Inabidi wazungu watulipe kwanza fidia ya utumwa kwa kuwatesa mababu zetu na kuwageuza bidhaa kama condoms kwa zaidi ya miaka 400.
 
Naomba niwambie jambo moja ambalo pengine miongoni mwenu wapo wanaofahamu na wengine labda hawajui. Mimi nafanya kazi kama Afisa tarafa huku kasulu,na kambi ya wakimbizi ya nyarugusu ipo ndani ya tarafa yangu.Kwa mazingira haya na nafasi hii napata kukutana na wazungu wengi wa mashirika yanayohudumia wakimbizi kwenye vikao mbalimbali. Jambo kubwa nililogundua ni kwamba wazungu ni wanafiki sana. Wanajifanya very sympathetic kwa waafrika( wakimbizi) kumbe sio kweli. Nasema tena sio kweli kwamba wanatupenda na wanatuonea huruma kwa shida zinazotukabiri hasa wakimbizi. Nao ni wapiga dili tu. Suala la vyombo vya habari vya wazungu kuisakama serikali ya JPM ni dhahiri kuwa wameona kwa trend hii kuna uwezekano tukasimama kwa miguu yetu,jambo ambalo hawataki kulisikia,ninyi nyote ni mashahidi. Kazi kubwa iliyobaki ni sisi wananchi kumuunga mkono rais wetu hasa kwa kuchapa kazi sana ili tuondokane na utumwa huu wa fikra na uchumi ambao kwao ni mtaji. Rais tumemchagua sisi na ni rais wetu na sio wa BBC wala nini. Wanannchi tuna nafasi kubwa ya kumfanya rais wetu afanye kazi kwa kujiamini ili siku moja tuondokane na minyororo hii ambayo kwa sasa tunafungwa vichwani badala ya miguuni. Rais wetu kazi na kasi yako kwangu imetukuka na najiona mwenye bahati kufanya kazi katika kipindi cha utawala wako kwani sikubahatisha kufanya kipindi cha mwalimu nyerere.

Kwani wanaomsema vibaya Magufuli wazungu tu?

Mbona hata mimi Mtanzania mweusi naona anavyoharibu nchi?
 
Kweli kabisa mfano Waingereza wenyewe wanarithishana uongozi afu wanaingilia demokrasia za nchi za Afrika. Hawa watu hawatupendi ila wanapenda mazingira yetu sababu yanawarahisishia kupiga dili zao kilaini.

Inabidi wazungu watulipe kwanza fidia ya utumwa kwa kuwatesa mababu zetu na kuwageuza bidhaa kama condoms kwa zaidi ya miaka 400.
Rais wetu amesema vema sana kwamba haya magari yanayotumiwa na mashirika yanayohudumia wakimbizi yakimaliza shughuli zao yasiuzwe Bali zipewe Halmashauri husika,rais akapiga pin magari yaliyotarajiwa kuuzwa mwishoni mwa mwaka jana. Sasa wamekuja na mbinu ya kukodi magari ya watu binafsi ili kumchenga rais. Nikipata nafasi namweleza rais wangu. Haya nayo ni majipu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom