Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,079
Njaa zako zinakusumbiaKwani wanaomsema vibaya Magufuli wazungu tu?
Mbona hata mimi Mtanzania mweusi naona anavyoharibu nchi?
Njaa zako zinakusumbiaKwani wanaomsema vibaya Magufuli wazungu tu?
Mbona hata mimi Mtanzania mweusi naona anavyoharibu nchi?
Akinipa pia kazi nitafanya.umeweka information zako zote ili mkulu akisoma hapa akupe ukuu wa wilaya?
Hilo wazo zuri yasiuzwe inabidi yabaki katika Halmashauri zetu. Maana ile minada yao hayo magari yanauzwa bei kinoma afu yanakuwa bado mazuri.Rais wetu amesema vema sana kwamba haya magari yanayotumiwa na mashirika yanayohudumia wakimbizi yakimaliza shughuli zao yasiuzwe Bali zipewe Halmashauri husika,rais akapiga pin magari yaliyotarajiwa kuuzwa mwishoni mwa mwaka jana. Sasa wamekuja na mbinu ya kukodi magari ya watu binafsi ili kumchenga rais. Nikipata nafasi namweleza rais wangu. Haya nayo ni majipu.
Kuwa specific,wapi panahitaji ufafanuzi mkuu!!hebu tupe nyama, haijakua na mashiko mkuu
Inamana unaona mh. Ummy mwalimu amepwaya???Hakika kutokana na mchango wake kwa wanawake hapa nchini hakuna ubishi mbunge mpya, na mke wa Rais mstaafu wa Tanzania, mama Salma Kikwete anatosha kuwa waziri wa Wanawake na watoto.
Mama Salma Kikwete amefanya mambo makubwa katika kumkomboa mwanamke kupitia taasisi yake ya Wanawake na Maendeleo (WAMA).
Hivyo akiwa waziri wa Wizara hii atafanya mambo makubwa zaidi, ukizingatia ana uzoefu mkubwa katika ukombozi wa Wanawake nchini .
Kwa hiyo ni vyema mtukufu Rais John Pombe Magufuli amfikirie kuwa waziri wa wizara hiyo .
Ndio mwisho wa akili yako ulipofikia hicho chama kipo madarakani mwaka 54 huu na ushee kila siku ni kulia lia tu na miahadi isiyotekelezeka kwa ulafi na ubinafsi wa waroho wachache hivi nyie ni nani aliyewaloga ? Yaani saa zingine ukute wewe unajiita msomi kabisaa kazi ipoHakika kutokana na mchango wake kwa wanawake hapa nchini hakuna ubishi mbunge mpya, na mke wa Rais mstaafu wa Tanzania, mama Salma Kikwete anatosha kuwa waziri wa Wanawake na watoto.
Mama Salma Kikwete amefanya mambo makubwa katika kumkomboa mwanamke kupitia taasisi yake ya Wanawake na Maendeleo (WAMA).
Hivyo akiwa waziri wa Wizara hii atafanya mambo makubwa zaidi, ukizingatia ana uzoefu mkubwa katika ukombozi wa Wanawake nchini .
Kwa hiyo ni vyema mtukufu Rais John Pombe Magufuli amfikirie kuwa waziri wa wizara hiyo .
Unamaanisha Rais amuundie Wizara mpya mama Salma Kikwete maana Wizara hiyo haipo TanzaniaHakika kutokana na mchango wake kwa wanawake hapa nchini hakuna ubishi mbunge mpya, na mke wa Rais mstaafu wa Tanzania, mama Salma Kikwete anatosha kuwa waziri wa Wanawake na watoto.
Mama Salma Kikwete amefanya mambo makubwa katika kumkomboa mwanamke kupitia taasisi yake ya Wanawake na Maendeleo (WAMA).
Hivyo akiwa waziri wa Wizara hii atafanya mambo makubwa zaidi, ukizingatia ana uzoefu mkubwa katika ukombozi wa Wanawake nchini .
Kwa hiyo ni vyema mtukufu Rais John Pombe Magufuli amfikirie kuwa waziri wa wizara hiyo .