Status
Not open for further replies.
Kwanza kabisa nawasalimu kama ilivyo tamaduni zetu ,kuwasalimia wakubwa na wenye mamlaka,shikamoo
...
Ujumbe wangu ni mfupi sana ila umebeba mengi tu.
Nawaombeni sana tena sana nyie wawili yaani Mh.Rais John Pombe Magufuli na Katibu wa Chama (CCM)Taifa Dr.Bashir Ally kaeni siku moja mtafakari kuhusu HAKI za watanzania. Jiulizeni kweli awamu hii mnatenda haki sawa kwa raia na vyama vingine vya siasa kama haki hiyo inavyotendeka kwa chama chetu cha mapinduzi?
Ujumbe wangu ni huo...tu umebeba mengi .

Sent using Jamii Forums mobile app

Ccm ni chama kizee, hakiwezi ushindani na vyama vingine bali ndio kilichokamata dola. Namna pekee ni kutumia nguvu yake ya dola kujipendelea ili kiendelee kuwepo. Iwapo kitaruhusu ushindani sawa ni dhahiri kitapotea.
 
Mh. Rais,
Heshima yako kiongozi wangu..!

Mh. Kwanza nikupongeze kwa yale yote ambayo umekuwa ukiyafanya kukuza uchumi wa nchi,kuimarisha utendaji serikalini,kupambana na ufisadi pamoja rushwa.

Mh. Rais,nimeamua kutumia jukwaa hili kuleta ombi langu kwako mkuu. Nimefuatilia leo wakati ukiwapongeza mashujaa wetu na kwa furaha uliyoipata,ukaamua kuwazawadia viwanja wachezaji wote wa timu ya Taifa.

Mh. Rais,Mimi siyo mchezaji,lkn kutokana na mazingira ya kazi za ujasiriamali,nimeshindwa kabisa kuweka akiba na kuweza kujinunulia japo kiwanja. Tendo la leo ulilolifanya kwa wachezaji limenifanya nijitoe muhanga na mm niombe kwako kiongozi km itawezekana unisaidie kiwanja hapa dar.

Wewe ni Rais wa wanyonge,na naamini hapa unapita kila wakati kusoma. Me naomba unisaidie kiwanja tu,ntafanya juhudi za kila aina ili nikijenge kwa nguvu zangu.

Mh. Rais,kukuomba hapa haina maana kwamba me ni mzembe,lkn km nilivyoeleza hapo juu kipato changu nimeshindwa kabisa kuweza kupata pesa za kununua kiwanja.

Naamini hata wachezaji wetu umewapa viwanja si kwa sababu hawana uwezo bali mapenzi yako ya dhati kwa watanzania.

Mh. Rais naomba ombi langu ulipokee mkuu wangu,mm sitakuangusha kukijenga. Ntapiga vibarua mpaka nyumba isimame na ntakuwa natoa taarifa kwa wasaidizi wako.

Naamini ombi km langu ni la ajabu sana mh. Rais,lkn wewe ni baba wa wote. Nimeondoa uoga nikiamini taarifa zangu zitafika kwako na utanisaidia. Siamini kwamba ukinisaidia mimi kupata kiwanja kupitia jukwaa hili,basi kila mtu ataomba sidhani km itatokea!

Mwisho:

Nitashukuru sana iwapo ombi langu litapokelewa na kukubaliwa.

NB: wasaidizi wa Rais mlioko hapa jukwaani naomba mfikishe ombi langu kwa Rais. Hata km mnaona atalikataa lkn lifikisheni tu. Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni takribani miaka minne tangu Rais wetu John Pombe Manguli kuchanguliwa kuwa rais wa JMT.JPM hakika ameonyesha nia ya dhati ya kutaka kuona nchi yetu inasonga mbele kama zilivyo nchi nyingine ambazo kimsingi zimepiga hatua kwa maendeleo kwa ujumla ukilinganisha na nchi yetu.Nchi husika ni kama Ghana,Botswana,Kenya, na Cotd voire.Nchi kama Misri,Algeria ,South Africa ,Mauritius na Morrocco ni kundi la nchi ambazo kimsingi itachukua takribania miaka mingine mia moja walau kuweza kufukia hatua ya maendeleo waliyokuwa nayo.JPM akiamua kutoa kipaumbele kwenye kilimo cha umwangiliaji kwa nchi nzima ,na nchi ikaachana na kilimo cha kubahatisha yaani kilimo cha kutegemea mvua naamini kabisa ndani ya miaka mitano nchi itafanikiwa kupunguza umaskini kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangia tupate uhuru na tutaweza kuwepo kwenye kundi za nchi nilizotaja za kwanza.Kilimo cha umwangiliaji kitawezaje kupunguza umaskini hapa nchini?
1.Zaidi ya asilimia tisini ya wakulima hapa nchini wanategemea mvua kwa ajili ya shughuli za kilimo.
2. Tumezungungukwa na nchi ambazo zina upungufu wa mazoa ya chakula miaka yote.
3.Masoko kwa ajili ya mazao ya chakula yapo na ni ya uhakika .

4.Kuimarisha kilimo kimsingi itakuwa rahisi kuleta mapinduzi ya viwanda kwani nchi haitakuwa na mahitaji makubwa ya kuagiza mali ghafi toka nje ya nchi.

Nawasilisha ,
Makupa ( mbunge mtarajiwa wa Vunjo kupitia chama tawala )
 
Watanzania wengi huwa wanachagua chama na sio sera

Nadhani kama uraisi ungekuwa taasisi Tanzania now tungekuwa level moja na Brazil

All in all kilimo pia this time jiwe anakipa shavu sema kimya kimya mfano ni wiki iliyopita waziri mkuu alikuwa mwanza anazindua bank ya wakulima na zile trekta za warusi

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Watanzania wengi huwa wanachagua chama na sio sera

Nadhani kama uraisi ungekuwa taasisi Tanzania now tungekuwa level moja na Brazil

All in all kilimo pia this time jiwe anakipa shavu sema kimya kimya mfano ni wiki iliyopita waziri mkuu alikuwa mwanza anazindua bank ya wakulima na zile trekta za warusi

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Mkuu unaweza kuwa na dhana zote za kilimo ila kilimo cha kutegeme mvua mkuu sahau.Mvua zenyewe si za uhakika hata kidogo ,mimi naamini kabisa tatizo letu hapa Tz haswa kwenye kilimo ni kutokana na uhaba wa mvua na si kingine mkuu.
 
Ni takribani miaka minne tangu Rais wetu John Pombe Manguli kuchanguliwa kuwa rais wa JMT.JPM hakika ameonyesha nia ya dhati ya kutaka kuona nchi yetu inasonga mbele kama zilivyo nchi nyingine ambazo kimsingi zimepiga hatua kwa maendeleo kwa ujumla ukilinganisha na nchi yetu.Nchi husika ni kama Ghana,Botswana,Kenya, na Cotd voire.Nchi kama Misri,Algeria ,South Africa ,Mauritius na Morrocco ni kundi la nchi ambazo kimsingi itachukua takribania miaka mingine mia moja walau kuweza kufukia hatua ya maendeleo waliyokuwa nayo.JPM akiamua kutoa kipaumbele kwenye kilimo cha umwangiliaji kwa nchi nzima ,na nchi ikaachana na kilimo cha kubahatisha yaani kilimo cha kutegemea mvua naamini kabisa ndani ya miaka mitano nchi itafanikiwa kupunguza umaskini kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangia tupate uhuru na tutaweza kuwepo kwenye kundi za nchi nilizotaja za kwanza.Kilimo cha umwangiliaji kitawezaje kupunguza umaskini hapa nchini?
1.Zaidi ya asilimia tisini ya wakulima hapa nchini wanategemea mvua kwa ajili ya shughuli za kilimo.
2. Tumezungungukwa na nchi ambazo zina upungufu wa mazoa ya chakula miaka yote.
3.Masoko kwa ajili ya mazao ya chakula yapo na ni ya uhakika .

4.Kuimarisha kilimo kimsingi itakuwa rahisi kuleta mapinduzi ya viwanda kwani nchi haitakuwa na mahitaji makubwa ya kuagiza mali ghafi toka nje ya nchi.

Nawasilisha ,
Makupa ( mbunge mtarajiwa wa Vunjo kupitia chama tawala )

Kwa mawazo kama haya..hata ungekuwa upinzani let alone CCM nisingekupa kura!
 
Unazungunzia viwanda wakati hulimi!!!! Tutabakia hapa hapa tulipo na ukiongeza tulivyo ambavyo hatupendani ndio balaaa.
 
Ni kweli nchi inahitaji kilimo cha umwagiliaji

Miaka ya nyuma JK alijaribu huo mpango lkn Israel wakamwambia aandae trilion 36 kufanikisha huo mchakato
So nadhan gharama ndio kikwazo mkuu

Mm naona kitu chepesi kwetu kuinua uchumi wa Tanzania ni UTALII maana tuna kila kitu pia warusi wanatupa saana promo kutangaza vivutio vyetu
Mkuu unaweza kuwa na dhaba zote za kilimo ila kilimo cha kutegeme mvua mkuu sahau.Mvua zenyewe si za uhakika hata kidogo ,mimi naamini kabisa tatizo letu hapa Tz haswa kwenye kilimo ni kutokana na uhaba wa mvua na si kingine mkuu.

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Ni kweli nchi inahitaji kilimo cha umwagiliaji

Miaka ya nyuma JK alijaribu huo mpango lkn Israel wakamwambia aandae trilion 36 kufanikisha huo mchakato
So nadhan gharama ndio kikwazo mkuu

Mm naona kitu chepesi kwetu kuinua uchumi wa Tanzania ni UTALII maana tuna kila kitu pia warusi wanatupa saana promo kutangaza vivutio vyetu

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Mkuu utalii sawa lakini utalii hautaweza ondoa umaskini mkubwa tuliona hasa maeneo ya vijijini ambako zaidi ya asilimia themanini ya watanzania ndiko walipo .
 
UTALII utatumika kama daraja la nchi kupata pesa ili kuwezesha hiyo miradi ya kilimo

Alafu trust me utalii unatosha kabisa kutokomeza umaskini Tanzania kwa kutoa ajira
Mkuu utalii sawa lakini utalii hautaweza ondoa umaskini mkubwa tuliona hasa maeneo ya vijijini ambako zaidi ya asilimia themanini ya watanzania ndiko walipo .

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
hakika mkuu huu umaskini wa wakulima wetu ni sababu ya mvua zisizo na uhakika kama serikali ikiwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji sidhani kama hali za maisha za wakulima wetu kama zitaendelea kuwa jinsi zilivyo.
 
Ni takribani miaka minne tangu Rais wetu John Pombe Manguli kuchanguliwa kuwa rais wa JMT.JPM hakika ameonyesha nia ya dhati ya kutaka kuona nchi yetu inasonga mbele kama zilivyo nchi nyingine ambazo kimsingi zimepiga hatua kwa maendeleo kwa ujumla ukilinganisha na nchi yetu.Nchi husika ni kama Ghana,Botswana,Kenya, na Cotd voire.Nchi kama Misri,Algeria ,South Africa ,Mauritius na Morrocco ni kundi la nchi ambazo kimsingi itachukua takribania miaka mingine mia moja walau kuweza kufukia hatua ya maendeleo waliyokuwa nayo.JPM akiamua kutoa kipaumbele kwenye kilimo cha umwangiliaji kwa nchi nzima ,na nchi ikaachana na kilimo cha kubahatisha yaani kilimo cha kutegemea mvua naamini kabisa ndani ya miaka mitano nchi itafanikiwa kupunguza umaskini kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangia tupate uhuru na tutaweza kuwepo kwenye kundi za nchi nilizotaja za kwanza.Kilimo cha umwangiliaji kitawezaje kupunguza umaskini hapa nchini?
1.Zaidi ya asilimia tisini ya wakulima hapa nchini wanategemea mvua kwa ajili ya shughuli za kilimo.
2. Tumezungungukwa na nchi ambazo zina upungufu wa mazoa ya chakula miaka yote.
3.Masoko kwa ajili ya mazao ya chakula yapo na ni ya uhakika .

4.Kuimarisha kilimo kimsingi itakuwa rahisi kuleta mapinduzi ya viwanda kwani nchi haitakuwa na mahitaji makubwa ya kuagiza mali ghafi toka nje ya nchi.

Nawasilisha ,
Makupa ( mbunge mtarajiwa wa Vunjo kupitia chama tawala )
Magufuli alisema anataka watu waishi kama mashetani sasa wewe unapongana na mwenyekiti wako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wengi huwa wanachagua chama na sio sera

Nadhani kama uraisi ungekuwa taasisi Tanzania now tungekuwa level moja na Brazil

All in all kilimo pia this time jiwe anakipa shavu sema kimya kimya mfano ni wiki iliyopita waziri mkuu alikuwa mwanza anazindua bank ya wakulima na zile trekta za warusi

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Nimekuona mnafiki uliposema "anakipa shavu kimya kimya"...fool!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni takribani miaka minne tangu Rais wetu John Pombe Manguli kuchanguliwa kuwa rais wa JMT.JPM hakika ameonyesha nia ya dhati ya kutaka kuona nchi yetu inasonga mbele kama zilivyo nchi nyingine ambazo kimsingi zimepiga hatua kwa maendeleo kwa ujumla ukilinganisha na nchi yetu.Nchi husika ni kama Ghana,Botswana,Kenya, na Cotd voire.Nchi kama Misri,Algeria ,South Africa ,Mauritius na Morrocco ni kundi la nchi ambazo kimsingi itachukua takribania miaka mingine mia moja walau kuweza kufukia hatua ya maendeleo waliyokuwa nayo.JPM akiamua kutoa kipaumbele kwenye kilimo cha umwangiliaji kwa nchi nzima ,na nchi ikaachana na kilimo cha kubahatisha yaani kilimo cha kutegemea mvua naamini kabisa ndani ya miaka mitano nchi itafanikiwa kupunguza umaskini kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangia tupate uhuru na tutaweza kuwepo kwenye kundi za nchi nilizotaja za kwanza.Kilimo cha umwangiliaji kitawezaje kupunguza umaskini hapa nchini?
1.Zaidi ya asilimia tisini ya wakulima hapa nchini wanategemea mvua kwa ajili ya shughuli za kilimo.
2. Tumezungungukwa na nchi ambazo zina upungufu wa mazoa ya chakula miaka yote.
3.Masoko kwa ajili ya mazao ya chakula yapo na ni ya uhakika .

4.Kuimarisha kilimo kimsingi itakuwa rahisi kuleta mapinduzi ya viwanda kwani nchi haitakuwa na mahitaji makubwa ya kuagiza mali ghafi toka nje ya nchi.

Nawasilisha ,
Makupa ( mbunge mtarajiwa wa Vunjo kupitia chama tawala )
Hii harakati wanaiweza wapinzani tu hawa wako bize kuangusha upinzani tu
 
Mh magufuli Kuna Maoni yanatolewa humu jf juu ya raisi bora wa Africa mashariki wewe hutajwi kabisa kila mtu ana mtaja uhuru Kenyatta sasa jiulize je mataga na kina musiba tia ndani polepole wanakupamba kinafiki au ndio uhalisia kwamba unapendwa na kukubalika?

kwa Maoni ya wengi rais bora afrika mashariki ni uhuru Kenyatta kina polepole na musiba na mataga wanakunafikia ili wale na washibe kupitia wewe jioni njema.
 
Nadhan Ubora wa rais ni kwa wananchi wake ..,,,hakuna nch inaitwa Afrika mashariki so hakuna criteria ya kupima Ubora labda mapambo ya mabeberu tu
 
Nikupe pole kwa Majukumu uliyonayo. Pia Shikamoo! Ni kaushauri kadogo tu asubuhi ya leo ningependa kupendekeza. Unao Vijana watatu ambao Mimi Binafsi nawaona Kama watu ambao ulipatia kuwateu kukusaidia. Nakuomba uwape majuku makubwa zaidi, kwa kiwango walichokionesha, wanastahili kukusaidia katika Majukumu makubwa zaidi. Vijana Hawa watatu Ni:
1. Anthony Mtaka (RC-SIMIYU), kwakweli Ni mtu anaejiamini, mbunifu, mtu wa kutafuta fursa za kimaendeleo kwa ajili ya Wananchi wa Mkoa wake. Atatufaa zaidi hata tusio wa Mkoa wake.
2. Jokate Mwegelo, Young and Ambitious, ameonesha alivyo mbunifu, ameamua kufanya kazi tofauti na wengine ambao kazi Yao Ni kukuimbia nyimbo za kukusifu na kukuabudu.
3. Godwin Gondwe. Amekuwa msaada Mkubwa Sana kwa Wananchi wa Handeni. Amehamasisha kilimo Cha mihogo, shughuli za Maendeleo na Mambo mengi ambayo Ni positive.

Ni hao TU muheshimiwa, na nakuhakikishia, HAWATOKUANGUSHA. Ila kaombi kengine kadoooogo, pale Hai huna Mkuu wa Wilaya, una MUHUNI NA KILAZA(sijui walikupa vigezo gani umteue?).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom