Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Kuna watu wamekufa bila hatia yoyote na vifo vyao sio doa kwa taifa, ila mmoja tu anayejeruhiwa na kupona ndio doa kwa taifa!.Malipo hapa hapa duniani, mwisho wa ubaya aibu. Muda ni hakimu.
MHUBIRI 4:13 SUV
"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."