Vihela vitaonekaje wakati hatufanyi bali deal?Wakati kila mmoja analalamika kuwa raisi hasikilizi ushauri mie nakupeni nondo kidogo hujue kuwa mheshimiwa raisi anasikiliza na kusoma dondoo mbalimbali ili mradi tuondokane na umaskini.
[*]Ila baba hakika tunapigika ipasavyo tunaomba utulegezee angalau vihela vionekane mheshimiwa.