Mama mungu akujaalie uwe na maamuzi sahihi wakati sahihi. Problem solution oriented na sio na na wewe uwe bado kwenye mchakato nchi hii michakato bado haimalizikagi.

Tofuati ya mwenda zake na maraisi wengine magufuli alikuwa anatoa solution bila.kuona aibu wala kupepesa macho.
 
Wakuu Salaam,

Jana Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, wakati akizindua kiwanda cha ushonaji cha Polisi kuna kauli alizitoa ambazo binafsi naona hakupaswa kuzitoa hasa kwa kuzingatia kuwa yeye ndiye mtu mwenye nguvu na mamlaka na dhamana kubwa kabisa kwa sasa ndani ya JMT.

Jambo la kwanza alionyesha kushangazwa na vitendo vya matapeli wa kwenye mitandao ya simu ilhali sote tumesajiliwa kwa alama za vidole, jambo hili ni kweli linatushangaza wengi inakuaje hawakamatwi na kushughulikiwa kirahisi na bado wanaendelea, lakini yeye kwa nafasi na mamla aliyonayo alitakiwa kusimama kwenye zamu na nafasi yake kwanza kwa kuonyesha kutoridhishwa na kufutahishwa na jinsi watendaji wanavyoshughulikia swala hilo na pili atoe maelekezo ya nini anataka kuona kinafanyika tena haraka, lakini si kusema tu kuwa na yeye anashangaa, swali linabaki kuwa uongozi wake juu ya jambo hili ni upi?

Jambo la pili ni kuhusu kesi za kubambikiza, ameonyesha kuridhishwa na TAKUKURU kufuta kesi nyingi ambazo wameona hazikua sahihi, halafu akawaambia Polisi wajitafakari. Kama kiongozi liko tatizo ameliona ilikua jambo zuri angeonyesha alichokiona kisha atoe maelekezo ya utekelezaji, mfano ili kupunguza msongamano wa wafungwa JPM hakumwambia DPP ajitafakari bali alimwagiza aende magerezani aonane na mahabusi ili aone kesi za kufuta lakini pia azungumze na watu walio tayari kulipa fedha waachiwe. Hadi akafikia hatua ya kusema hayo ina maana yako mambo ambayo yeye ameyaona ambayo inawezekana watendaji wa maeneo husika either hawajayaona au wanayaona ni ya kawaida, sasa kiongozi kama mbeba maono jukumu lake ni kuwaonyesha yale anayoyaona na kuwaelekeza wayafanye.

Kama mimi kila siku ninapotoka nyumbani kwangu napita mlangoni kwa kupiga sarakasi, ukiniona ukashangaa kuwa nafanya kitu cha ajabu halafu ukaniambia nijitafakari wakati mimi naona ni kitu cha kawaida, usitegemee kuona mabadiliko.

Mama usishangae, kama sisi wananchi tusio na mamlaka, wewe ndiye kiongozi wetu uliye mbele yetu, toa maelekezo, kemea, amrisha mambo yaende.
Hii ni kweli ...nilitegemea mama ajue tatizo lipo wapi na atoe maelekezo ya kuchukuliwa hatua kwa wabambikizaji....Pia atoe amri kali kwa Polisi kulifanyia kazi ndani ya muda maalum na kumletea ripoti ili achukue hatua....sasa kujitafakari kwa mbongo sana sana ni kwenda kupiga vyombo na vitu kama hivyo
 
Wakuu Salaam,

Jana Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, wakati akizindua kiwanda cha ushonaji cha Polisi kuna kauli alizitoa ambazo binafsi naona hakupaswa kuzitoa hasa kwa kuzingatia kuwa yeye ndiye mtu mwenye nguvu na mamlaka na dhamana kubwa kabisa kwa sasa ndani ya JMT.

Jambo la kwanza alionyesha kushangazwa na vitendo vya matapeli wa kwenye mitandao ya simu ilhali sote tumesajiliwa kwa alama za vidole, jambo hili ni kweli linatushangaza wengi inakuaje hawakamatwi na kushughulikiwa kirahisi na bado wanaendelea, lakini yeye kwa nafasi na mamla aliyonayo alitakiwa kusimama kwenye zamu na nafasi yake kwanza kwa kuonyesha kutoridhishwa na kufutahishwa na jinsi watendaji wanavyoshughulikia swala hilo na pili atoe maelekezo ya nini anataka kuona kinafanyika tena haraka, lakini si kusema tu kuwa na yeye anashangaa, swali linabaki kuwa uongozi wake juu ya jambo hili ni upi?

Jambo la pili ni kuhusu kesi za kubambikiza, ameonyesha kuridhishwa na TAKUKURU kufuta kesi nyingi ambazo wameona hazikua sahihi, halafu akawaambia Polisi wajitafakari. Kama kiongozi liko tatizo ameliona ilikua jambo zuri angeonyesha alichokiona kisha atoe maelekezo ya utekelezaji, mfano ili kupunguza msongamano wa wafungwa JPM hakumwambia DPP ajitafakari bali alimwagiza aende magerezani aonane na mahabusi ili aone kesi za kufuta lakini pia azungumze na watu walio tayari kulipa fedha waachiwe. Hadi akafikia hatua ya kusema hayo ina maana yako mambo ambayo yeye ameyaona ambayo inawezekana watendaji wa maeneo husika either hawajayaona au wanayaona ni ya kawaida, sasa kiongozi kama mbeba maono jukumu lake ni kuwaonyesha yale anayoyaona na kuwaelekeza wayafanye.

Kama mimi kila siku ninapotoka nyumbani kwangu napita mlangoni kwa kupiga sarakasi, ukiniona ukashangaa kuwa nafanya kitu cha ajabu halafu ukaniambia nijitafakari wakati mimi naona ni kitu cha kawaida, usitegemee kuona mabadiliko.

Mama usishangae, kama sisi wananchi tusio na mamlaka, wewe ndiye kiongozi wetu uliye mbele yetu, toa maelekezo, kemea, amrisha mambo yaende.
Huko si kushangaa. Yeye kawapa wahusika taarifa kwamba kuna hilo tatizo. Sasa wasipolishughulikia ndio tena wataona upande wake mwingine wa shillingi. Huo ndio uongozi wa kistaarabu na si kuaanza tu kufukuza watu
 
Unajua kushurutisha tu .... uongozi sio kufokafoka Mama anajua kutoa Amri najua wahusika wameelewa nini anamaanisha.
 
Mtaani kwetu tokea sikukuu ya idi maaskari wametanda mtaani wauza drugs wamekamatwa karibia wote yaani sio mchezo mishemishe kibao kazi za ujenzi zipo isipokuwa vijana hawajitumi Ni wavivu wanakunywa gongo badala ya kuwa manyokaa life zuri lipo ukipiga kila kazi bila kuchagua dai hela yako Kama unafanya kazi.ma title wapo wanaleta na hela.kazi kweli nimeikubali Kama kweli kwa level tu ya mtaa usalama wa taifa umefanya makubwa na kuzingira Basi nadhani watafsiri wote wa Sheria tendeni haki matumaini Sasa yako rushwa itapungua.
 
Tuliposifiwa kuwa na utawala bora kipindi cha Mkwere,wote tulijua nini kinaendelea mtaani na serikalini. Sijui kwanini huwa ni rahisi kwa wenye madarasa mengi kichwani kugeuzwa kugeuzwa na kupoteza kabisa maarifa asilia.
JK was far way better president kuliko marais wengi sio Tz tu bali Afrika nzima.
 
Wakuu Salaam,

Jana Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, wakati akizindua kiwanda cha ushonaji cha Polisi kuna kauli alizitoa ambazo binafsi naona hakupaswa kuzitoa hasa kwa kuzingatia kuwa yeye ndiye mtu mwenye nguvu na mamlaka na dhamana kubwa kabisa kwa sasa ndani ya JMT.

Jambo la kwanza alionyesha kushangazwa na vitendo vya matapeli wa kwenye mitandao ya simu ilhali sote tumesajiliwa kwa alama za vidole, jambo hili ni kweli linatushangaza wengi inakuaje hawakamatwi na kushughulikiwa kirahisi na bado wanaendelea, lakini yeye kwa nafasi na mamla aliyonayo alitakiwa kusimama kwenye zamu na nafasi yake kwanza kwa kuonyesha kutoridhishwa na kufutahishwa na jinsi watendaji wanavyoshughulikia swala hilo na pili atoe maelekezo ya nini anataka kuona kinafanyika tena haraka, lakini si kusema tu kuwa na yeye anashangaa, swali linabaki kuwa uongozi wake juu ya jambo hili ni upi?

Jambo la pili ni kuhusu kesi za kubambikiza, ameonyesha kuridhishwa na TAKUKURU kufuta kesi nyingi ambazo wameona hazikua sahihi, halafu akawaambia Polisi wajitafakari. Kama kiongozi liko tatizo ameliona ilikua jambo zuri angeonyesha alichokiona kisha atoe maelekezo ya utekelezaji, mfano ili kupunguza msongamano wa wafungwa JPM hakumwambia DPP ajitafakari bali alimwagiza aende magerezani aonane na mahabusi ili aone kesi za kufuta lakini pia azungumze na watu walio tayari kulipa fedha waachiwe. Hadi akafikia hatua ya kusema hayo ina maana yako mambo ambayo yeye ameyaona ambayo inawezekana watendaji wa maeneo husika either hawajayaona au wanayaona ni ya kawaida, sasa kiongozi kama mbeba maono jukumu lake ni kuwaonyesha yale anayoyaona na kuwaelekeza wayafanye.

Kama mimi kila siku ninapotoka nyumbani kwangu napita mlangoni kwa kupiga sarakasi, ukiniona ukashangaa kuwa nafanya kitu cha ajabu halafu ukaniambia nijitafakari wakati mimi naona ni kitu cha kawaida, usitegemee kuona mabadiliko.

Mama usishangae, kama sisi wananchi tusio na mamlaka, wewe ndiye kiongozi wetu uliye mbele yetu, toa maelekezo, kemea, amrisha mambo yaende.
kosa ni la baba mwendazake hakutaka kumtengeneza mwenzake awe na uwezo wa kuyasemea baadhi ya mambo..... sasa kwakuwa alijifanya acha tuende hivihivi tutajua mbele kwa mbele atajifunzia hukohuko yaani kwa kifupi tushachoka mwache afanye atakavyo usimsumbue
 
Huachi alama mkuu, ila ishara zako ndizo zinasema mengi kwa anayejua kusoma na kuelewa.

Sijaanza kukuona leo wala jana!
Hahaha!

Shukran mkuu.

Bado naangaika kupata Luku, yaani Luku imekuwa kama zama damu au maduka ya ushirika.
 
@Huwezi kuruhusu chakula kiende nje ya nchi wakati unaona huu mwaka kuna njaa kubwa.

@ huwezi kufungulia ajira kwa mkupuo(kukurupuka) wakati unajua swala la WATUMISHI HEWA lipo limetutesa miaka yote
Hill swala hua linafanyika hatua kwa hatua

@huwezi kabisa kuruhusu madini yachimbwe hifadhini wakati huo unajua kabisa kuna sehemu nyingi nyingi tu za kuchimba madini

@Huwezi kuamlisha gas ipelekwe nje wakati huo unajua unapinga matumizi ya mkaa majumbani kwa kiongozi mwenye mtazamo angetafuta ni jinsi gani watanzani watatumia gas waachane na mkaa.

ukuruhusu gas kwenda kenya je ni masikini gani ataweza kutumia gasi ?
Basi ruhusu matumizi ya mkaa hazarani watanzania wananyanganya mikaa hata akionekana .

FB_IMG_1621452260507.jpg
FB_IMG_1621452260507.jpg
FB_IMG_1621452260507.jpg
FB_IMG_1621452317642.jpg
 
Wabongo mnapenda kuwapangia watu kazi, ujuaji mwingiii. Hovyo sana. Mkipewa uhuru kidogo tu, shida. Kwakweli Pombe alikuwa sahihi kutupeleka mzobemzobe. Mlifyata kimyaa!
 
Samia anakusudia mambo mema kwa nchi ila shida yetu tunataka mwanamke awe kama mwanaume kubwa ni kuwa watu wazima ndani ya ccm wasimuache mwenyekiti wao. Wamshauri na wamsaidie
 
Kwahiyo Kiongozi wenu shupavu aliweza ongeza matumizi ya gesi kwa kila mtanzania? Eti kuajiri kunaenda kwa awamu, huyo mwendazake Mbona hata hawamu hakuweza? Mbona Tigopesa siku za karibuni ilipata tatizo week nzima, hivyo pia ni udhaifu wa mama?
 
Back
Top Bottom