Atlantis Voyager
JF-Expert Member
- Jan 19, 2018
- 367
- 500
Mama mungu akujaalie uwe na maamuzi sahihi wakati sahihi. Problem solution oriented na sio na na wewe uwe bado kwenye mchakato nchi hii michakato bado haimalizikagi.
Tofuati ya mwenda zake na maraisi wengine magufuli alikuwa anatoa solution bila.kuona aibu wala kupepesa macho.
Tofuati ya mwenda zake na maraisi wengine magufuli alikuwa anatoa solution bila.kuona aibu wala kupepesa macho.