Mpeni muda mamanakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Kuna sehemu gani ya nchi hii ambayo Samia hajafika?
Mpeni muda mamanakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
We veronica france kweli hamnazo yaani unamshauri mama aanze maigizo ya jiwe na kuleta hasara kwa kutumia ma viiieeeiiiteee,yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara
ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana
kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai
nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Hii mada siielewi kabisa. Rais amesafiri wapi so far! Ziara za ndani ni moja, mbili. Uganda au Kenya angeenda iwa bus? Na je umelinganisha gharama ya ndege na gharama ya msafara wa magari kadhaa yatakayotumia mafuta mengi, malipo ya madereva, muda unaopotea, msongamano barabarani etc?yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara
ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana
kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai
nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Sasa hapo Samia ana muda gani na u Rais mpaka amlaumu ?!.Sioni kama kamponda mama nimeona amesema tu ukweli kwamba rais ni lazima awe karibu na watu wake ajue shida zao........mara moja moja atembee na gari aongee na wananchi wake bana....
Mama hajagomewa mwanza acha uongo,hata mie naishi mwanza hilo sijalionayaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara
ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana
kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai
nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Atembee na magari kwani yeye anaugonjwa wa moyo mama panda ndege izo kwanza zimetuletea hasara kubwa wee zipande zote mama etu mpendwa hata ukitaka kwenda kimara bonyokwa kutoka magogoni mama we panda ndege tu mimi naona sawa kwakuwa wewe huna betirii una nyamayaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara
ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana
kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai
nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Ubarikiwe sana kwa kuibuka na thread yenye mashiko kulingana na muda tulio nao.Hawataki na wala hawapendi kuona demokrasia inarejea Tanzania. Juhudi zote anazofanya mweshimiwa rais za kurudisha ustawi wa taifa kwa kufungua tena ushirikiano na mataifa rafiki juhudi hizi zinawakera.
Hawa ni wahafidhina, na maamuma tu. Wengi wao hawajui kabisa mwenendo wa dunia katika karne hizi. Dunia ya sasa inaimba wimbo wa uchumi wa soko, demokrasia na maendeleo ya watu.
Mahafidhina hawa wanachoamini ni kuwa kiongozi bora ni yule anayeminya uhuru wa habari, demokrasia, kutokuwa na mahusiano bora na majirani, au kuwaita wazungu kuwa ni mabeberu.
Hawa ni watu hatari sana hata ndani ya chama chaoTuwawekee movie ya cartoon waache kulia
Na wengi wao walijiunga ccm mwaka 2015Mama kanyaga twende.. Wasiotaka wahame nchi
Maana hao wahuni nao walikuwa wanaambia wananchi hivyo kipindi kile cha "meteso na dhiki kuu"
Basi hapa kesi imekwisha! 😂
Yule ni Rais sio DC au RC bado una Mawaziri na Manaibu na Mbunge wako yupo pia. Sasa badi unataka Rais ndio atembee akila mahindi huko Dumila kuwauliza mnataka mpanuliwe wapi?yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara
ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana
kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai
nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Magufuli ndio aliharibu mahusiano yetu na Kenya, yaani alikuwa nuksi kweli yule, kwakweli Mungu ashukuriwe sana, kang'oa mbuyu na mizizi yakemahusiano na kenya hayakuanza kuharibika wakati wa magufuli pekee, huko nyuma pia tumewahi kua na ugomvi nao ajili ya ushenzi wao na tamaa zao, hawa ni mafisi wajivikao ngozi ya kondoo ajili ya maslahi pekee dhidi yetu, wakenya wanajua tanzania ni fursa kubwa kiuchumi katika ukanda huu ndo maana hawaishi maigizo, hata mnaoshangilia mnaujua ukweli japo mnajifanya wanafiki na kushangilia upumbavu
Nyie mnao mpinga rais lazima tutawakomeshahizi ni taarab za siasa.