OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,210
- 103,795
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.
Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM
---
Taarifa kutoka ukurasa rasmi wa CHADEMA mtandao wa X
Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.
Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.
Updates
Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi.
Picha: Tundu Lissu akiwa ofisi za Wasafi
=============For English Audience Only============Tundu Lissu's scheduled interview at Wasafi FM was abruptly canceled, leading to some tension as Lissu insisted on understanding the reasons for the cancellation. Initially, it was announced that Lissu would participate in an interview on Wasafi TV's "Good Morning" show. However, the interview was postponed following directives from unspecified high-ranking officials.
On February 7, 2024, Lissu received an invitation to the special interview segment on Wasafi TV. Last night, one of the show's presenters informed Lissu that the interview had been postponed due to directives from above. This morning, Lissu visited Wasafi TV to seek clarity on the reasons behind the cancellation. The management of Wasafi apologized without providing specific reasons for the cancellation.
Despite being informed about the cancellation over the phone, Lissu was unsatisfied and decided to personally visit Wasafi FM to seek genuine reasons. The management, while apologizing, did not disclose the underlying reasons behind the abrupt cancellation.
Pia soma: Nape Nnauye: Hatujazuia mahojiano ya Tundu Lissu, Wasafi FM
Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM
---
Taarifa kutoka ukurasa rasmi wa CHADEMA mtandao wa X
Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.
Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.
Updates
Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi.
Picha: Tundu Lissu akiwa ofisi za Wasafi
=============For English Audience Only============
On February 7, 2024, Lissu received an invitation to the special interview segment on Wasafi TV. Last night, one of the show's presenters informed Lissu that the interview had been postponed due to directives from above. This morning, Lissu visited Wasafi TV to seek clarity on the reasons behind the cancellation. The management of Wasafi apologized without providing specific reasons for the cancellation.
Despite being informed about the cancellation over the phone, Lissu was unsatisfied and decided to personally visit Wasafi FM to seek genuine reasons. The management, while apologizing, did not disclose the underlying reasons behind the abrupt cancellation.
Pia soma: Nape Nnauye: Hatujazuia mahojiano ya Tundu Lissu, Wasafi FM