Ulipojiunga JamiiForums mara ya Kwanza ulitushirikisha Members wote hapa au hata Kuushukuru Uongozi wa JamiiForums kwa huu Mitandao wao? Miswahili bhana...!!!!Toka nilipoanza kutumia JF app sijapata ladha halisi ya JF, bora nirudi kwenye browser tu.
Ukifungua attachments hazifunguki, sasa natumia app ya kazi gani? Nadhani mjipange na kutuletea app inayoeleweka.
I see. Lakini mwisho wa siku bado uko JF, hadi raha. Hatoki mtu 😀 😀 😀 😀mazoea mkuu
browser inanishinda hata App yao ya browser inanishinda yaan
natumia browser app ikiwa nahitaji kuangalia attachment ya video kwa mtindo wa kucopy thread link
Hili tatizo hata Mimi ninaloToka nilipoanza kutumia JF app sijapata ladha halisi ya JF, bora nirudi kwenye browser tu.
Ukifungua attachments hazifunguki, sasa natumia app ya kazi gani? Nadhani mjipange na kutuletea app inayoeleweka.
Mkuu nilikuw naona aibu kuuliza , nikajua ni Mimi kilaza aiseeNilifikiri ni mimi tu napata shida hii, nikadhani ni kwa vile mimi ni mzee niliyepitwa na wakati - kumbe ni shida ya wengi!
Funika ujinga wako kidogo, kwani hili jukwaa ni la nini? Acha ushamba weweUlipojiunga JamiiForums mara ya Kwanza ulitushirikisha Members wote hapa au hata Kuushukuru Uongozi wa JamiiForums kwa huu Mitandao wao? Miswahili bhana...!!!!
Browser inanigomea kuupload picha.Toka nilipoanza kutumia JF app sijapata ladha halisi ya JF, bora nirudi kwenye browser tu.
Ukifungua attachments hazifunguki, sasa natumia app ya kazi gani? Nadhani mjipange na kutuletea app inayoeleweka.
Sasa tukimbilie wapi?Browser inanigomea kuupload picha.
Naichukia hapo tu.
Unajua hii kitu nilidhani ni simu yangu ndio inashida,leo ndio nimejua aiseeNa hakuna kinachouma kama unavonyeza link uone ni kitu gani ukibofya tuu inakuketea menu ja jf
Kilio cha wengi hikiUnajua hii kitu nilidhani ni simu yangu ndio inashida,leo ndio nimejua aisee
Kweli aise attachment hazifunguki mimi pia natumia browserToka nilipoanza kutumia JF app sijapata ladha halisi ya JF, bora nirudi kwenye browser tu.
Ukifungua attachments hazifunguki, sasa natumia app ya kazi gani? Nadhani mjipange na kutuletea app inayoeleweka.
Aisee'Uongozi walifanyie kazi hili
Bado tu hujaondoka / hujajitoa? Mpuuzi mkubwa Wewe. Umeambiwa Kujitoa Kwako kutaacha athari yoyote ya Kiuchangiaji hapa? Kwenda zako huko..!!!Funika ujinga wako kidogo, kwani hili jukwaa ni la nini? Acha ushamba wewe