Salaam!
Imekuwa ni desturi ya Watu wengi kulalamika kuwa kukosa Elimu ya darasani kumewafanya kushindwa kufikia mafanikio fulani fulani hususani ya kiuchumi.
Kwa upande wangu sioni mantiki ya kukwamishwa kuendelea kiuchumi kisa elimu ya kuta nne.
Hebu kwanza tujiulize ni nini kinamfanya mtu...
Suzuki Carry
Habari zenu!
Naomba kujulishwa uwezo wa suzuki carry a.k.a kirikuu:
1. Uwezo wa kubeba(maximum weight).
2. Nguvu yake kwenye mchanga,matope,utelezi,miinuko n.k. (pulling).
3. Je inaweza rough roads hasa mikoa isiyokuwa na milima mikali au maeneo yenye miinuko ya wastani.
4...
Nawapa hint wadogo zangu na ma brother wangu.
Ukijiona kila ukimpata demu uwezo wako ni kwenda guest house tu, tena huko unaomba ulipe kwa show time ili ubane matumizi basi jua umeyakimbilia mapenzi. Tafuta pesa , yes mwili umeshakua tena huenda una zaidi ya miaka 30 lakini mfuko wako haujakua...
Tumeanzisha NGO ila tuna changamoto ya kupata fedha kutoka kwa wafadhili, tunahitaji mwenye upeo na uwezo wa kujua wapi na namna ya kupata fedha kwa ajili ya miradi yetu ya maendeleo, NGO yetu ina malengo ya kujengea watu uwezo wa ujasiriamali, kilimo, mambo ya viwanda; inajenga miundo mbinu...
Happy, binti mwenye akili, aliyetoka katika familia isiyojiweza lakini alifanya vyema katika matokeo yake ya kidato cha 4 katika shule jirani ya serikali, hivyo meneja wa shule, Padri Damian Milliken alijitolea kumsomesha Mazinde Juu na kumhudumia hadi atakapomaliza kidato cha 6 .
Baada ya...
Lissu, a human rights and environmental lawyer, is a vocal critic of government corruption and the current president, John Magufuli. He has been arrested several times in the past and still has charges of uttering seditious words against the Tanzanian state authority outstanding against him...
Mnaosema hakuna kama Gaucho mnatumia kigezo gani?
Mmefika mbali mpaka kumlinganisha Gaucho na Messi/Ronaldo
Hivi Gaucho ukitoa control ya mpira iliopitiliza (hata mimi namkubali kwa hili) ana kipi kuwapita watu hao wawili?
Hapa naongelea uwezo binafsi ambao hauna msaada wa timu usitaje...
Habari wakuu, nahitaji muuzaji wa Mixer ambayo ni powered itakayokuwa na uwezo wa kuendesha box speaker 4 za watt 300 yenye njia kama 12 au zaidi. Njoo na bei yako kwenye comment, pesa ipo tayari.
Kidumu chama chetu.
Maadui wa Israel kama vile Iran wako taabani maana wanazidi kuanikwa na vyombo vinavyotupwa angani, hii ni satellite ya kipekee yenye uwezo mkubwa.
======
Israel on Monday launched a new spy satellite that it said would provide high-quality surveillance for its military intelligence.
Israel...
Imebidi niulize , maana huko waendako wanaelekea kulogana , B Dozen kang'olewa Clouds na sasa Musa Husein naye yuko mbioni .
Hivi haiwezekani media hizi zikafanya kazi na watangazaji wapya kabisa na zikatoboa ? hii tabia ya kupora watangazaji kwa kuwaongeza dau imetokea wapi ?
Miaka mingi kidogo nilikutana na dada mmoja kutoka visiwa vya Caribbean, alinieleza umuhimu wa wanaume kula matango. Aliendelea kuwa kwao mtoto wa kiume anahimizwa kula tango walau moja kila siku baada ya kufikia umri wa balehe. Dada huyu aliniambia pia kama una mgonjwa wa tezi dume kamua...
Wana JF.
Tangu uwepo ugonjwa wa Corona, mapambano ambayo NIMR imeyafanya , imejiongezea umaarufu na kujikutabinajulikana sana baada ya kutengeneza Tiba lishe mbali mbali kupambana na COVID19. Kabla ya hapo watanzania wengi walikuwa hawajui kama kuna kitu kama NIMR kinafanya utafiti wa Tiba...
Leo tarehe 16 Juni 2020, Rais Magufuli analivunja bunge kwa ajili ya kufanya matayarisho ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, ambapo uchaguzi wa rais na wabunge utafanyika kwa wakati mmoja.
Bunge la 11 lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa...
Mitandao ya simu imerahisisha maisha kwa kuruhusu mtu kujirudishia pesa aliyotuma kimakosa kwenda kwa mtu mwingine. Hili tumelipokea kwa mikono miwili.
Sasa naomba muweke uwezo wa mtu kurudisha muamala wa pesa ambayo ameipokea kimakosa au ambayo haitambui.
Naomba wazo hili mlifanyie kazi...
JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,
Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Mimi nina takribani siku 6 sasa, sijui harufu ya kitu chochote wala sisikii taste ya chochote.
Siumwi homa, wala mafua.
Hii ilitokea gafla tu baada ya kumeza Alu (mseto).
Kuna wenzangu humu?
Baadhi ya Maoni yaliyotolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha msaidizi wa Young Africans, Charles Boniface Mkwasa amesema amegundua mambo mawili, baada ya kuanza mazoezi ya kikosi cha klabu hiyo jana jioni.
Kikosi cha Young Africans kilianza mazoezi ya kwanza jana jioni katika uwanja wa shule ya sheria, jirani na kituo cha daladala cha Ubungo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.